Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

Serikali inakuja kukuchukuwa tu, haina haja ya kukupigia simu. Wacha uongo.

Nyie ndio wale mafataani, mnalala mkiamka mnakuja na ufataani wa kuifanya Serikali ionekane chombo kibaya sana.

Mbona siwaoni kuongelea wagonjwa wanaokufa kwa kukosa kuhudumiwa na hao madaktari? mbona hamuongeleai kuwa wamekiuka amri za mahakama? mbona hakuongeleei kuwa madai yao mengi yametimizwa? mbona hamuongelei kuwa wagonjwa wanateseka na kufa?

Mbona hamsemi huyo Ulimboka eti amepigiwa simu wakamalize mgomo usiku? wacheni ufataani.

Mnaleta ufataani eti kupigiana simu. Kila anaeleta mgomo wa kuwatibu wagonjwa wetu anastahili hukumu ya kifo.
da faiza.....usitake ncheke
 
Wanagoma nini? kama wameona hakuna maslahi si waache kazi tu? walizuiliwa, sheria zipo na hakuna aliyewalazimisha kufanya kazi.

Hao wamezibiwa minya ya kuiba ndio hasira zao.

Kifungu ambacho kinawaumiza ni kuwa walikuwa wanataka call allowance hata kama hawapo kwenye call.

Serikali ikawazidishia call allowance na kuwaambia mtalipwa mkiwa "on call" tu, na hicho ndicho hawakukipenda wao wanataka hata kama hayupo on call alipwe kama kawaida yao.
 
Ni wewe uliepata kipigo pale Muhimbili? Ulitoka nduki ukikatiza vichochoro kama nguruwe aliye fumaniwa kwenye shamba la mihogo! Nyie ndo mnao haribu nchi hii. Kitu cha kusolve nusu saa mna by-time miaka!

Mnataka kuleta fujo na kuvunja amani katika hii nchi, lakini hamta fanikiwa.
 
hata kama serikali haihusiki na ujinga huu on which napata shida kuamini,walipaswa kuwalinda hao viongozi wa madaktari kwa nguvu zote ili hilo lililo tokea lisiwepo,hasa katika kipindi hiki cha mvutano.LITAKALOKUWA NA LIWE by waziri mkuu wa serikali iliyoachwa na MUNGU
 
Serikali inakuja kukuchukuwa tu, haina haja ya kukupigia simu. Wacha uongo.

Nyie ndio wale mafataani, mnalala mkiamka mnakuja na ufataani wa kuifanya Serikali ionekane chombo kibaya sana.

Mbona siwaoni kuongelea wagonjwa wanaokufa kwa kukosa kuhudumiwa na hao madaktari? mbona hamuongeleai kuwa wamekiuka amri za mahakama? mbona hakuongeleei kuwa madai yao mengi yametimizwa? mbona hamuongelei kuwa wagonjwa wanateseka na kufa?

Mbona hamsemi huyo Ulimboka eti amepigiwa simu wakamalize mgomo usiku? wacheni ufataani.

Mnaleta ufataani eti kupigiana simu. Kila anaeleta mgomo wa kuwatibu wagonjwa wetu anastahili hukumu ya kifo.

Dr Ulimboka ni mwenyekiti, wanachama katika chama cha madaktari tumemchagua kwa kura. Anafanya kazi kama wenyeviti wote tunaowafahamu kwa mujibu wa taratibu zao ndani ya chama, sasa je wenyeviti wote wa vyama (akiwemo huyo dhaifu) na sisi timng'oe kucha. Maana hapa inaonyesha watu na akili finyu wanadhani Dr ulimboka kaanzisha mgomo...... shenzy zenu mfyuuuuuuuuuuuuuuuu.
 
Jamani tujiandae kuweka utawala mpya basi.
Kwa ajili ya Madaktari? Haya na walimu nao wataiondoa Serikali hiyo na sisi tutaweka ya Kijeshi zizagae AK47 maana yanayowakuta Ethiopia, Somalia nk
Pinda keshaiachia Mahakama isije ikawa eti ni Siasa
 
Walijichanganya kwenye kutumia udictoctor badala ya mazungumzo!! SERIKALI dhaifuuuuuu!!!! Mda wao wa kutawala NA kutumyonya umefika mwisho!!!
 
Upuuzi wa CCM utatufanya tuanze mazoezi kujiweka fit. Na tukiamua hakika hawataweza. Be careful CCM.
 
Dr Ulimboka ni mwenyekiti, wanachama katika chama cha madaktari tumemchagua kwa kura. Anafanya kazi kama wenyeviti wote tunaowafahamu kwa mujibu wa taratibu zao ndani ya chama, sasa je wenyeviti wote wa vyama (akiwemo huyo dhaifu) na sisi timng'oe kucha. Maana hapa inaonyesha watu na akili finyu wanadhani Dr ulimboka kaanzisha mgomo...... shenzy zenu mfyuuuuuuuuuuuuuuuu.

Awe mwenyekiti au mwenye kigoda, Jee, amewatangazia kusitisha mgomo kama mahakama ilivyoamuru?
 
Ulimboka kala kichapo, sasa akisha uguza majeraha aje kutangaza tena mgomo unaendelea. Na bado, sasa tunawataka wale wanaowalipa hawa kina Ulimboka.

Madaktari wengi sana hawajui kuwa hawa kina Ulimboka wanalipwa na watu fulani fulani lakini kwa sasa wameshajulikana kinachofanyika ni kupata undeniable evidence watanzania wajionee wenyewe. Halafu watanzania na madaktari wengine wataamua nini cha kufanya. Lolote liwalo na liwe.
 
Serikali inakuja kukuchukuwa tu, haina haja ya kukupigia simu. Wacha uongo.

Nyie ndio wale mafataani, mnalala mkiamka mnakuja na ufataani wa kuifanya Serikali ionekane chombo kibaya sana.

Mbona siwaoni kuongelea wagonjwa wanaokufa kwa kukosa kuhudumiwa na hao madaktari? mbona hamuongeleai kuwa wamekiuka amri za mahakama? mbona hakuongeleei kuwa madai yao mengi yametimizwa? mbona hamuongelei kuwa wagonjwa wanateseka na kufa?

Mbona hamsemi huyo Ulimboka eti amepigiwa simu wakamalize mgomo usiku? wacheni ufataani.

Mnaleta ufataani eti kupigiana simu. Kila anaeleta mgomo wa kuwatibu wagonjwa wetu anastahili hukumu ya kifo.

Hakuna hospitali inayolala njaa hata kama hakuna mgomo. kabla ya mgomo wameshakufa wengi baada ya operation kushindikana kutokana kukosa vifaa tiba au vya upimaji, wameshakufa wengi kutokana na kukosekana kwa ambulance, wameshakufa wengi kwa sababu ya kukosa fedha za kununulia dawa ambazo ni ghali wameshakufa wengi kwenye foleni kusubiri daktari.Madaktari sio wengi kiasi hicho cha kuhudumia kila mgonjwa kwa wakati wote, hospitali kubwa mgonjwa aliyelazwa anaweza kumuona daktari mara moja kwa wiki. Madaktari walio nje walienda kwa sababu hapa maslahi yao hayajaliwi. Madaktari wamechoka ku certify death kwa sababu hakuna vipimo, wamechoka kuhatarisha maisha kwa watu wasiowajali bila kupewa risk allowance, wamechoka kulala nje ya nyumba za bila malipo stahiki.
 
mmeshupalia serikali kana kwamba tayari without doubt imekuwa proved kwamba aliyefanya ufedhuli huu yupo bayana!!!!
Sipo upande wa kufata mkumbo! itakapothibitika kuwa ni serikali. .....tytasema yaliyopo moyoni, na itakapokuwa vinginevyo pia titasema yaliyopo moyoni na si kubwabwaja


Nani atathibisha??? wewe ni Great Thinker ........... 1 + 1 = 2.........mbona hesabu iko wazi kabisa??? MIMI SIJAONA KWA MACHO ILA NI SERIKALI - ITS VERY OBVIOUS
 
Wanagoma nini? kama wameona hakuna maslahi si waache kazi tu? walizuiliwa, sheria zipo na hakuna aliyewalazimisha kufanya kazi.

Hao wamezibiwa minya ya kuiba ndio hasira zao.

Kifungu ambacho kinawaumiza ni kuwa walikuwa wanataka call allowance hata kama hawapo kwenye call.

Serikali ikawazidishia call allowance na kuwaambia mtalipwa mkiwa "on call" tu, na hicho ndicho hawakukipenda wao wanataka hata kama hayupo on call alipwe kama kawaida yao.

Huna adabu we zumbukuku,KIkwete safari yake moja ni millioni 300 leo hii daktari anataka aongezwe mshahara serikali inadharau hii rare proffession mtu kuipenda kazi sio iwe adhabu kikaragosi wee
 
serikali inakuja kukuchukuwa tu, haina haja ya kukupigia simu. Wacha uongo.nyie ndio wale mafataani, mnalala mkiamka mnakuja na ufataani wa kuifanya serikali ionekane chombo kibaya sana.mbona siwaoni kuongelea wagonjwa wanaokufa kwa kukosa kuhudumiwa na hao madaktari? Mbona hamuongeleai kuwa wamekiuka amri za mahakama? Mbona hakuongeleei kuwa madai yao mengi yametimizwa? Mbona hamuongelei kuwa wagonjwa wanateseka na kufa?mbona hamsemi huyo ulimboka eti amepigiwa simu wakamalize mgomo usiku? Wacheni ufataani.mnaleta ufataani eti kupigiana simu. Kila anaeleta mgomo wa kuwatibu wagonjwa wetu anastahili hukumu ya kifo.
we acha ubwege! Kama unauchungu na nchi hii jiulize ni kiasi gani hao wapumbavu unaowaita viongozi ambavyo wanaiba na kujinufaisha binafsi nafamilia zao wakati ni mali ya taifa la tanzania? Kwani wanatofauti gani na wauaji ambao wanaua watu pasipo na sababu, kama nchi hii ingefuata misingi ya utawala bora pasingetokea dr ulimboka na wala migomo tusingeisikia, zaidi hao viongozi wako wala rushwa wangekua marehemu yaani wangekuwa wameshanyongwa tusingeshuhudia upuuzi huu, nenda china uone kama kuna ujinga huu wa mtu kuiba kisha anaundiwa tume na baadae anapewa kitengo kingine, ila madaktari wanapodai haki zao wanaonekana wauaji pumbaaaaaaf zenu wote wenye fikra mgando kama fisi maji.
 
Ulimboka kala kichapo, sasa akisha uguza majeraha aje kutangaza tena mgomo unaendelea. Na bado, sasa tunawataka wale wanaowalipa hawa kina Ulimboka.

Madaktari wengi sana hawajui kuwa hawa kina Ulimboka wanalipwa na watu fulani fulani lakini kwa sasa wameshajulikana kinachofanyika ni kupata undeniable evidence watanzania wajionee wenyewe. Halafu watanzania na madaktari wengine wataamua nini cha kufanya. Lolote liwalo na liwe.
Ni wewe tu mwenye akili za mbayuwayu ndie unayejua kuwa madaktari wanalipwa watanzania wanajua madaktari wandai haki zao na ni haki yao ya kikatiba
 
mmeshupalia serikali kana kwamba tayari without doubt imekuwa proved kwamba aliyefanya ufedhuli huu yupo bayana!!!!
Sipo upande wa kufata mkumbo! Itakapothibitika kuwa ni serikali. .....tytasema yaliyopo moyoni, na itakapokuwa vinginevyo pia titasema yaliyopo moyoni na si kubwabwaja
nani atathibitisha? Polisi? Ha ha ha ha ha!!!!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom