Katibu wa CCM wilaya ya Mbarali Bajoji amefariki dunia jana akiwa nyumbani kwao Kyela.
Aliumwa ghafla na juhudi za kumkimbiza hospitali hazikuzaa matunda. Inasemekana kafa kwa pressure.
Pole sana kwa ndugu na marafiki wa Bajoji.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema, AMEN!.
Aliumwa ghafla na juhudi za kumkimbiza hospitali hazikuzaa matunda. Inasemekana kafa kwa pressure.
Pole sana kwa ndugu na marafiki wa Bajoji.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema, AMEN!.