dan ki dan
Member
- Feb 25, 2011
- 19
- 4
Kuna taarifa kuwa wanaopigia kelele ufisadi wameandaliwa mkakati wa kupelekwa kuzimu je hii si hatua ya huo mkakati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mhhhhhh sasa vilmelea 150 si maleria ingekua imepanda kichwani. angeshawehuka. uzuri naamini tunao wataalam wa tiba watatuelezea vzr kuhusu hili.
una uhakika na unachokinena?leo katibu wa bunge ameutangazia umma kuwa Zitto kabwe yu mzima anaendelea vizuri na matibabu tucwe na wacwac.
Hoja yangu ni kwamba ni kweli tanzania hatuwezi kumtibu mtu mwenye malaria kama ya Zitto? Kweli jamani hata malaria mpaka india? Yaani kweli muhimbili hawawezi kutibu malari? Agha khan hawawezi kutibu malaria? Daa tumekwisha
Madai yangu Zitto haumwi malaria hapa kuna usanii mtupu. Katibu wa bunge na spika wake wakapimwe akili zao hawawezi kutudanganya kiasi hiki. Jamani inatosha sasa kudanganyana.
Na ukiona serikali inalidanga taifa wazwaz basi kuna njama kali sana zimepangwa zidi ya Zitto Kabwe ikiwezekana atoweke duniani. katibu wa bunge akapimwe akili zake.
Mimi kwa kutumia mawazo mazuri kutoka kwa Mungu zitto hasumbuliwi na malaria.
Nina hasira, wapendwa.