Katibu wa bunge na Spika wake wapimwe akili zao

Kuna taarifa kuwa wanaopigia kelele ufisadi wameandaliwa mkakati wa kupelekwa kuzimu je hii si hatua ya huo mkakati?
 
mhhhhhh sasa vilmelea 150 si maleria ingekua imepanda kichwani. angeshawehuka. uzuri naamini tunao wataalam wa tiba watatuelezea vzr kuhusu hili.

Tunao wako wapi? Wameshindwa kutibu Malaria.....!

Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa Malaria ndiyo ugonjwa unaoongoza kwa kuchukua maisha ya wapendwa wetu hapa Tanzania. Je kama Muhimbili haina uwezo wa kutibu malaria tunategemee nini kwa waTz ambao si viongozi???????

Tabia hii ya kupelekana India inasababisha Hospitali zetu zizikudidimia ki-huduma. Watawala si tena wateja wa hizi hospitali za ndani ya nchi. Niliyasema haya hata kipindi kile Mzee Makamba alipopelekwa India wengine wakasema alikuwa anasumbuliwa na mafua!!!!!
 
leo katibu wa bunge ameutangazia umma kuwa Zitto kabwe yu mzima anaendelea vizuri na matibabu tucwe na wacwac.

Hoja yangu ni kwamba ni kweli tanzania hatuwezi kumtibu mtu mwenye malaria kama ya Zitto? Kweli jamani hata malaria mpaka india? Yaani kweli muhimbili hawawezi kutibu malari? Agha khan hawawezi kutibu malaria? Daa tumekwisha

Madai yangu Zitto haumwi malaria hapa kuna usanii mtupu. Katibu wa bunge na spika wake wakapimwe akili zao hawawezi kutudanganya kiasi hiki. Jamani inatosha sasa kudanganyana.

Na ukiona serikali inalidanga taifa wazwaz basi kuna njama kali sana zimepangwa zidi ya Zitto Kabwe ikiwezekana atoweke duniani. katibu wa bunge akapimwe akili zake.

Mimi kwa kutumia mawazo mazuri kutoka kwa Mungu zitto hasumbuliwi na malaria.

Nina hasira, wapendwa.
una uhakika na unachokinena?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom