IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
CCM wanaposema malaria hawana maana ile homa inayo sababishwa na vimelea vya aina ya Plasmodium falciparum, Plasmodium ovale, Plasmodium vivax ama Plasmodium malariae wanao sambazwa na m'mbu aina ya anophele. Malaria ya CCM ni ushirikina kuchanganya na interijensia ya kifisadi.
Kama magamba yalikaa na kuazimia kuwa chama chao hakija anza kuua leo, basi huo ni muendelezo wa kukolimbana tena kwa kasi ya ajabu. Na kwa mtindo huu, LAZIMA WENGI WATAONDOKA kwani dalili za mvua ni mawingu!
Anopheles kaka, 'anophele' ni kitu kingine kabisa bosi