Katibu wa bunge na Spika wake wapimwe akili zao

CCM wanaposema malaria hawana maana ile homa inayo sababishwa na vimelea vya aina ya Plasmodium falciparum, Plasmodium ovale, Plasmodium vivax ama Plasmodium malariae wanao sambazwa na m'mbu aina ya anophele. Malaria ya CCM ni ushirikina kuchanganya na interijensia ya kifisadi.

Kama magamba yalikaa na kuazimia kuwa chama chao hakija anza kuua leo, basi huo ni muendelezo wa kukolimbana tena kwa kasi ya ajabu. Na kwa mtindo huu, LAZIMA WENGI WATAONDOKA kwani dalili za mvua ni mawingu!

Anopheles kaka, 'anophele' ni kitu kingine kabisa bosi
 
Msiwe na wasiwasi inawezekana Mhe. ana complication ya tu ya
Malariaehivkisukarisis ugonjwa ambao Muhimbili umewashinda. Heri wampeleke India wasije mkata mguu au kichwa.
Namtakia apone haraka
Eeebana ee
Mpiganaji get well soon.
 
Madaktari wamesema ni malaria wewe unapinga, hebu tuambie ugonjwa wake sasa.
Madaktari wepi hao? Si miongoni mwa wale waliofanya upasuaji wa Kichwa badala ya goti na kinyume chake? Si wamesomea chuo hicho hicho cha hospitali hiyo hiyo? Juzi tu wameshindwa kugundua sumu kwenye mwili wa Dr. Mwakyembe, wakasema ugunjwa wa ngozi, madaktari wa India wamesema sumu!!!!!!!!!!!!!!!
IMANI HUJENGWA JAMANI HAISHURUTISHWI.
 
leo katibu wa bunge ameutangazia umma kuwa zitto kabwe yu mzima anaendelea vizuri na matibabu tucwe na wacwac.

Hoja yangu ni kwamba ni kweli tanzania hatuwezi kumtibu mtu mwenye malaria kama ya zitto? Kweli jamani hata malaria mpaka india? Yaani kweli muhimbili hawawezi kutibu malari? Agha khan hawawezi kutibu malaria? Daa tumekwisha

Madai yangu zitto haumwi malaria hapa kuna usanii mtupu. Katibu wa bunge na spika wake wakapimwe akili zao hawawezi kutudanganya kiasi hiki. Jamani inatosha sasa kudanganyana.

Na ukiona serikali inalidanga taifa wazwaz basi kuna njama kali sana zimepangwa zidi ya zitto kabwe ikiwezekana atoweke duniani. katibu wa bunge akapimwe akili zake. Mimi kwa kutumia mawazo mazuri kutoka kwa Mungu zitto hasumbuliwi na malaria.
Nina hasira, wapendwa.

mkuu nimeuliza mada moja magonjwa ya dharura ni yapi? Hii ni baada ya kusoma issamichuzi blog kwamba amelazwa na anashugulikiwa na dk wa magonjwa ya dharura nikaomba msaada hii itasaidia watu wenye ugonjwa wa dharura wakiwa na uwezo wa appolo wanaongoza moja kwa amoja badala ya kubanana shamba la bibi muhimbili.....

Huyu mama sio tatizo lake maadili yanamwelekeza hivyo na ndio maana kama umesikia amedai ana malaria 150 Anyway mara ya mwisho kusikia malaria ni 24 hii 150 HUIIIIIIWWWWIIIIIIIIIIIIIIII APAWASAUYO
KIGOMA MNATISHA
 
Malaria inatibika kwa Quinine tu mi kwa uzoefu wangu nimeshatibu mgonjwa wa malaria mwenye Bs/Mps 13000/200 wbc nilimtibu na akapona na sasa dogo anaendelea na shule vema. Kama kweli maprofesa wangu walionifundisha mimi wameshindwa kutibu malaria 153 basi shule yangu haina maana. Naona hapa wanalack confidence walimu wangu. Nimejisikia vibaya sana na sitamani hata niitwe Dr coz nimedhalilishwa sana. Wanasiasa wanaua vipaji vya wataalam. Mungu ibariki Tanzania
 
india si wataalamu wa maralia,si katika magojwa matano hatari,homa yao ni dengue.kwa kifupi tuajidharau weyewe inawezekana wahindi wanatushangaa.
 
Mimi sijui mpiganaji wetu anajiamini nini kuwa karibu na magamba japo wote ni wtz, angalia mara ngapi zito anongozana na jk ,,,,,mara ya mwisho nilimuona kwenye mkutano a wawekezaji kule kwa pinda akiwa na arfi lakini kuna tangazo likapita kutambulishwa walioko lakini arfi hakuonekana labda yeye alistukia hakugusa maji ya kiu
 
Kumbe malaria za viongozi ni tofauti na za kwetu?...............mbona sisi tunatibiwa kwenye vizahanati vidogo tu na tunapona?...mbona wakati mwingine tunaamua kunywa maji mengi tunapona tunaendelea kulima?.....mbona wakati mwingine tunakunywa tupanado tu na tunaendelea kuchapa mizigo?....hawa akina zitoo mpaka india ni kwa sababu wanalipiwa na serikali au?.................au ni tiketi ya kuenda kupumzika kidogo....................kweli watz wote ni mabwege>
 
Duu mkuu nilipoona hii kichwa ya habari
nlidhani hawa wakuu wa bunge wamepatwa na wazim loool umentisha kumbe minor issue tu! Aufue pole bwana kabwe
 

Nilikuwa naangalia habari hii nikiwa na mama yangu wakati inarushwa,mama yangu aliniuliza swali moja..ana malaria ya namna gani hiyo? Mimi nikasema sijui ila Muhimbili imeshindwa,yeye akasema sasa kama muhimbili imeshindwa kutibu malaria Je,zile hospital zetu za kata kule Same na kwingineko itakuwa habari gani? Kimsingi tukubali tukatae
Kaka Zitto anaumwa....

Ila pamoja na malaria, kuna kitu kingine
 
CCM wanaposema malaria hawana maana ile homa inayo sababishwa na vimelea vya aina ya Plasmodium falciparum, Plasmodium ovale, Plasmodium vivax ama Plasmodium malariae wanao sambazwa na m'mbu aina ya anophele. Malaria ya CCM ni ushirikina kuchanganya na interijensia ya kifisadi.

Kama magamba yalikaa na kuazimia kuwa chama chao hakija anza kuua leo, basi huo ni muendelezo wa kukolimbana tena kwa kasi ya ajabu. Na kwa mtindo huu, LAZIMA WENGI WATAONDOKA kwani dalili za mvua ni mawingu!

Mkuu, malaria inasambazwa na mbu jike aina ya anopheles, anayefyonza damu usiku wa manane. Mmoja wapo ambaye ni hatari sana anaitwa Anopheles gambiae. Referral kwa Malaria! mwhe! labda its differentials!!
 
Malaria inatibika kwa Quinine tu mi kwa uzoefu wangu nimeshatibu mgonjwa wa malaria mwenye Bs/Mps 13000/200 wbc nilimtibu na akapona na sasa dogo anaendelea na shule vema.

Kama kweli maprofesa wangu walionifundisha mimi wameshindwa kutibu malaria 153 basi shule yangu haina maana. Naona hapa wanalack confidence walimu wangu.

Nimejisikia vibaya sana na sitamani hata niitwe Dr coz nimedhalilishwa sana. Wanasiasa wanaua vipaji vya wataalam.

Mungu ibariki Tanzania

MUPIROCIN

USES:
Mupirocin is used to treat infected cuts or wounds. It is an antibiotic that works by stopping the growth of certain bacteria.

HOW TO USE: Use this medication only on the skin. Clean and dry the affected area first. Then apply a small amount of cream to the area 3 times a day, or as directed by your doctor. You may cover the treated area with a bandage.Use this medication regularly in order to get the most benefit from it. Continue to use it for the full amount of time prescribed. Stopping the medication too early may allow bacteria to continue to grow, which may result in a relapse of the infection.Avoid using this medication around your eyes, nose, or mouth unless otherwise directed by your doctor.Inform your doctor if your condition does not improve in 3-5 days.

SIDE EFFECTS: Burning, itching, stinging, headache, or nausea may occur. If any of these effects persist or worsen, notify your doctor or pharmacist promptly.Remember that your doctor has prescribed this medication because he or she has judged that the benefit to you is greater than the risk of side effects. Many people using this medication do not have serious side effects.Seek immediate medical attention if a rash or severe itching occurs.Use of this medication for prolonged or repeated periods may result in a new infection (e.g., fungal infection). Contact your doctor if you notice signs of a new infection.This is not a complete list of possible side effects. If you notice other effects not listed above, contact your doctor or pharmacist.In the US -Call your doctor for medical advice about side effects. You may report side effects to FDA at 1-800-FDA-1088.In Canada - Call your doctor for medical advice about side effects. You may report side effects to Health Canada at 1-866-234-2345.

PRECAUTIONS: Before using mupirocin, tell your doctor or pharmacist if you are allergic to it; or if you have any other allergies.Before using this medication, tell your doctor or pharmacist your medical history.This medication should be used only when clearly needed during pregnancy. Discuss the risks and benefits with your doctor.It is not known whether this drug passes into breast milk. Consult your doctor before breast-feeding.
 
Duuuh!hii ndio TZ bwana.Hivi ni kwel inawaingia akilin kwamba Zitto anaumwa malaria iliyoshindikana Aghakan?Na hata hiyo muhimbili nayo haina uhakika wa kutibu hiyo malaria.Je ni aina gan hiyo ya malaria ya kupanda na kushuka,kupanda na kushuka kila wakati,kwan hiyo imekuwa BP?
 
Watoto ndio wakudanganywa na siow watu wazima, Malaria haiwezi kumpeleka mtu India, inabidi wengine tufikirie na sio tunaropoka tu mzima anaendelea vizuri,sasa kama anaendelea vizuri why apelekwe India??
 
  • Thanks
Reactions: Ame
mhhhhhh sasa vilmelea 150 si maleria ingekua imepanda kichwani. angeshawehuka. uzuri naamini tunao wataalam wa tiba watatuelezea vzr kuhusu hili.
 
Back
Top Bottom