Katibu wa Bunge na Hesabu za Asilimia

hali ya ukosefu wa umakini hapa nchini inasikitisha sana. Ni aibu sana kuona kuwa katibu wa bunge tena mwenye phd anafanya makosa kama hayo na bado amekaa kimya bila kufanya masahihisho na kuuomba radhi umma wa watanzania na wabunge.

Kwa upande mwingine kama mchangiaji mmoja alivyosema kuhusu uidhaifu wetu katika hisabati hali inasikitisha sana. Ukiangalia takwimu zinaonyesha kuwa wastani wa asilimia 82.8 ya watoto wetu wanaofanya mtihani wa kumaliza darasa la saba hufeli somo la hisabati lakini karibu asilimia 40 huchaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari. Hatujui matokeo ya mwaka huu yatakuaje. Kwa ngazi ya kidato cha nne hali nayo ni mbaya sana tu, kwani zaidi ya asilimia 75 ya wanafunzi wanaofanya mtihani wa kumaliza kidato cha nne hupata f katika hisabati.
alifanya marekebisho katika ufunguzi wa kikao cha jioni siku hiyo hiyo.
 
Jamani mtajichosha bure,system waliyotumia ni ile waliyotaka kumpa Jk 81% wakashindwa wakajua haiwezi.Walivoitumia kwenye uspika ikakubali kutoa 81% lakini hawakugundua safari hii imefanya kwa mafanikio hivyo wakakadiria asilimia hizo walizotoa.Hivyo bado wanaendelea na majaribio mpaka ifike 2015 watakuwa wameshaimaster.
 
Kuna mtu kaniambia kuwa eti jumla watu waliopiga kura kumpigia RAIS ni chache ukilinganisha ni jumla ya kura za watu waliowapigia wabunge. HIVI HII ni kweli imekaa sawa kwani wakati wa kupiga kura si unapewa karatasi tatu za Rais, wabunge na madiwani na baada kujaza ulikuwa unatubukiza kwenye mabox yote matatu na kila mtu anaona .
 
Back
Top Bottom