Katibu mkuu Wizara ya Afya aitwa Ikulu

Inabidi wamlee tena huyu jamaa

Kanda-Bongo-Man-Le-Rendez-Vous-De-499602.jpg
 
Komaeni tu vijana Sekta ya afya inadharauriwa sana, nakumbuka miaka ya 1992, Ulianzishwa mugomo na wauuguzi baada ya mkutano mrefu pale Mwembeni mbele ya jengo Kibasila, vitisho vikaanza wauguzi wakakomaa, Ma-intern wakaunga mkono, Ma-resident na Ma-specialist wakafuatia, Maprofesa, (Wakabaki wakuu wa Idara wauguzi na Madaktari) Uliendelea kwa wiki nzima hali ikawa mbaya sana sana wagonjwa wakanyenyuka na urinals, ma pop, wheel chair wakaandamana kwenda Ikulu kumuomba Raisi Mwinyi awape hao wafanyakazi wa Afya wanachotaka ndio vitu kama sabuticle leave zikaanza, mikopo ya magari, fungu likaongezwa kwenye vifaa vya kutendea kazi, mortuary ikaboreshwa kwani ilikuwa inatoka funza,walimu vyuo vyote pale Muhimbili wakaboreshewa maeneo ya utendaji.

La muhimu muwe pamoja na muwe na lengo moja

Ona kwenye RED hapo wewe kweli ni mtanzania ? matatizo ya watanzania tuachie watanzania wenyewe. Wewe waonyesha ni mrundi hata kiswahili hujui

 
Kama ni kweli kaitwa basi wanamuonea. Tatizo ni joka la ikulu !

Huyu mama wanamuonea bure, tatizo ni kwamba serikali haiipi wizara fedha za kutosha kushuhulikia matatizo ya madaktari sasa huyu mama kama hapewi hizo pesa atawalipa madaktari na pesa toka wapi? Wabunge wameongezewa posho na mkweree kachukua mabillioni kwenda nzo DAVOS lakini hela za kuwalipa madatari wanasema hawana!! Tunatawaliwa na wehu!!
 
Haishangazi wakati kama wa mgomo huu mwinyi alienda kuhudhuria onyesho la kandabongoman uwanja wa taifa leo mkuu wetu wa nchi kaenda uswizi kuhudhuria KONGAMANO!!!!!!
 
Hao vilaza hawawezikuona uchungu kwa sababu wao wanatibiwa nje tu wao na familia zao yetu wakina sie ndiyo maana kwao hili jambo halisumbui hata kidogo

Japo inauma, ni bora ukoloni ungeendelea tukajua moja, kuliko kunyonywa na "one of our own"! Mana hata hujui una fight na nani! Miaka 50! Kila sekta imerudi nyuma! Ama kweli tumedhubutu! Na tumeweza!
 
Back
Top Bottom