Outlier
JF-Expert Member
- Dec 28, 2008
- 323
- 17
hiyo ni kawaida, popote unapotaka kuchukua nyumba huko nchi za watu inabidi ulipie deposit kwanza watu hawataki mchezo na biashara zao; na kwa nchi ni possible kuwa watataka ulipe pesa ya mwaka mzima.ufisadi nilio uona ni huo wa kukodisha nyumba kabla ya huyo mtu hajaenda, kulikuwa na uharaka gani wa kutafuta hiyo nyumba na kuilipia? kuhusiana na mtu gani aende kati ya sawe na chale , inategemeana na serikali inataka kutimiza lipi ambalo mwanzo lilikuwa lina mapungufu, lakini kama ni ku-moderate cost sifikiri kama AMO ataliweza, kwani upeo wake kwa magonjwa makubwa ni mdogo, kwa Chale ingawa tutakuwa tuna mpoteza mtu mzuri lakini anaweza akaitumia hiyo nafasi kujifunza zaidi , ili akimaliza term yake anapelekwa mwingine kwa minajili ya kufanya hiyo kazi na kujifunza, labda tuambiwe hii pia ilikuwa ni nafasi ya sawe kufanya kazi na kujiendeleza, bila kupata machungu ya elimu yetu hapo muhimbili.