Mukama ni mropokaji ndio maana wamemwambia akae kimya. Yeye kaharibu uchaguzi igunga (japo ssm walishindwa), yeye aliropoka siku ya msiba wa makani akaharibu. Sasa wameona kuwa bora wamnyamazishe
Nasikia alitaka kubwaga manyanga maana ameshindwa kulivua gamba,akaambiwa asubiri kidogo!Nahisi ameshaona kuwa Magamba ni ya wenyewe!Nampa pole sana maana alikuwa hajui anakoenda.pu...........................vu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.