Wamemfanya kitu mbayaKutokana na makada nguli wa Chama Cha Mapinduzi kuwa wasemaji wakati kuna Msemaji mkuu wa chama ambaye ni Katibu Mkuu Yusuf Makamba inaonekana kama kunakitu nyuma yapazia kama tunavyojua ccm wanataratibu zao nadani ya chama lakini hili lakujibu hoja za CCM limetutia shaka yawezekana katibu kasafiri kifkira!!