Katibu Mkuu Mpya Nishati na Madini?

watangaze hiyo Vacant, wenye vigezo wa-apply then short list itolewe wananchi waamue ni nani anafaa; siyo kuteuliwa na JK; na huu mfumo wa Rais kuteua Makatiibu wa Wizara ufe, kwani wanaopewa nafasi hizo wanafanya kazi kwa Intrest za aliyewateua kwa kulinda kibarua na si kufuata uhalisia wa kazi.
 
Ukifatilia sakata la Katibu Mkuu wa Nishati na Madini, ni wazi kuwa hatua zoote hizi zilizochukuliwa ni za kumpunguza presha ili asife kihoro lakini ukweli ni kwamba huyu jamaa atakaa nje ya post hiyo (japo kwa staili ile ya kumaliza muda wake wa utumishi wa umma). Jambo la msingi hapa ni kuanza kufikiria ni nani atamrithi bw Jairo na atakayeweza kufanya la maana katika hiyo wizara kimeo?

This is the proposed list
1. Christopher Sayi
2. John Haule
3. Eng. Omar Chambo
4..........?
5..........?
crap kabisa.... sisi tunataka umeme wewe unatuletea list ya watu watakaofuja mali zetu

ile wizara haihitaji kiongozi yeyote, wacha ijieneshe kama trl
 
Inasemekana atapewa mtu mmoja kati ya wajumbe waliokuwa kwenye kamati ya madini ya mzee bomani,na mwenyewe ameshaambiwa bado kuutangazia umma
 
inaonekana na wewe ni mmojawapo kwenye hiyo list nini? unapima upepo? imekula kwako na wewe, hamna anayefaa hapo!
 
hiyo post naitamani sana mimi. Yaani ningekuwa naweza kupenyeza sauti yangu kwa myeuwaji ningemwambia aniteuwe na ningemshauri post ikae katika mfumo wa contract ili kila mwanzo wa bajeti nyingine niwe na renew kama nimefikia target nilizopangiwa ktk bajet iliyopita.

Jamani kwa wanaoweza kunifikishia sauti kwa JK mwambie jembe la ukweli nipo tayari kulitumikia taifa langu kwa mshahara utakaojadiliwa na wabunge wote.
 
Ukifatilia sakata la Katibu Mkuu wa Nishati na Madini, ni wazi kuwa hatua zoote hizi zilizochukuliwa ni za kumpunguza presha ili asife kihoro lakini ukweli ni kwamba huyu jamaa atakaa nje ya post hiyo (japo kwa staili ile ya kumaliza muda wake wa utumishi wa umma). Jambo la msingi hapa ni kuanza kufikiria ni nani atamrithi bw Jairo na atakayeweza kufanya la maana katika hiyo wizara kimeo?This is the proposed list1. Christopher Sayi2. John Haule3. Eng. Omar Chambo4..........?5..........?
Bwana Mipangomingi nadhani umejinyima fursa muhimu ya kuliokoa taifa hili! Binafsi nadhani ungeomba hiyo nafasi wewe!
 
Kufuatia Katibu Mkuu wa Nishati na Madini, Bwana David K. Jairo, kupewa likizo kwa muda, Katibu Mkuu Kiongozi, Phillemon Luhanjo, amemteua ELIAKIM CHACHA MASWI, kuwa KAIMU KATIBU MKUU, Wizara ya Nishati na Madini kuanzia leo tarehe 22 Julai, 2011. MASWI, kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

Eliakim chacha maswi, huyu wanaomjua akiwa Chuo alikuwa mpiganaji lakini inabidi tupate taarifa za utendaji wake tangu apewe ukubwa serikalini.
attachment.php

41-533x400.jpg
 
wizara hii imeanza kulaniwa toka Vasco da Gama II alipokuwa waziri. Ndo akaanza mikataba mibovu ya IPTL
vasco da gama??!!hv huyu alikuaga explorer au?duh umenichekesha sana yani we ni kichwa!
 
Back
Top Bottom