Wanajamii nawauliza, Katibu Mkuu Kiongozi aliyeteuliwa sasa, atakiweza kiatu cha Mh. Luhanjo na timu yake iliyopo? au atahitaji kuipanga upya. na Kama ndiyo ni lini ataifanyanya kazi hiyo?? Maendeleo ni sasa na mabadiriko ya Ari mpya, Kasi Mpya na nguvu mpya ni sasa.