Katibu mkuu Dr.W.P.Slaa punguza kamati - fungua makucha

Jamani hata kama awe na vithibitisho mia vya mkosaji but taratibu na kanuni zitafuatwa kama katiba inavyosema.katiba iko pake kumlinda mshtaki na mshtakiwa jamani tuwe wapole.ukifanya maamuzi bila kufuata katibu eti sababu ushahidi uko wazi jamaa anaweza kwenda mahakamani na kushinda rufani yake.tutulie muda si mrefu kitajulikana.
 
Binafsi nilikuwa msitari wa mbele katika kapeni zako katika uchaguzi mkuu uliopita, ulipochakachuliwa watu tulitaharuki,kimsingi tulikosa raha wapiganaji wote, lakini ulivyo na kipaji cha kuongea UlITUFARIJI na binafsi nilikuelewa hasa pale uliposema kuwa sasa ni muda muafaka kwako kukijenga chama kama katibu mkuu.

Nilifarijika na turifarijika, kweli tumeona harakati Arusha,mbeya, ruvuma na mwanza binafsi nilikoshwa na huku kuliko mikutano mingine well... katibu mkuu naomba na kamati kuu ya chadema iwe inafanya maamuzi magumu kuliko kuwa mnaamua kuwa na kamati kila mara inapohitajika kufanya maamuzi

1.kwa mfano isue ya Zitto kugoma kutoka bungezi siku ya ufunguzi wa bunge- kupinga matokeo ya uchaguzi na kudai katiba mpya.
chemada iliunda kamati.
2.isue ya Shitambala iliundwa kamati.
3. kwa mfano issue ya madiwani arusha chadema imeunda kamati.
4. kwa mfano isue ya Shibuda chadema imeunda kamati
BUt isue ya Kafulila hakukuwa na kamati anyway...
Katibu kama kamati ndio isue basi tuwe na kamati ya kushugulikia mambo iwe ya kudumu.

my take: madiwani wa Arusha hatua zichukuliwe-kamati imetoka na barua bila hatua.
sasa tena shibuda oh No its enough for kamati kamati ubadhilifu wa fedha
na kupoteza muda na iman kwa wapenda maendeleo FUNGUA MAKUCHA

Bado kuunda kamati ya harusi na Josephine tu
 
Back
Top Bottom