Unayoandika na sura yako haviendani kabisa, jaribu kutumia akili kufikiri hata siku moja moja dada yanguMvunje sheria ya mahakama, halafu mumuingize Kikwete? inahusu nini?
Unayoandika na sura yako haviendani kabisa, jaribu kutumia akili kufikiri hata siku moja moja dada yanguMvunje sheria ya mahakama, halafu mumuingize Kikwete? inahusu nini?
Mvunje sheria ya mahakama, halafu mumuingize Kikwete? inahusu nini?
Katibu wa chama cha Demokrasia Chaema bwana Willbrodi Slaa amesema wabunge wa Chadema hawataingia ktk vikao vya Bunge Kama Serikali haitomwachia mwenyekiti wa Chadema bwana Freeman Aikaeli Mbowe bila masharti yeyote magumu
Sourse ITV habari 8:00pm
wewe mwenyewe ckuelewi kabisa,unajua nafasi ya Mbowe bungeni???? Bunge linaweza fanyika bila waziri mkuu???? changanya na zako sasa utaelewa kwa nini wasiendeMbowe kuachiwa ataachiwa tu tena kwa dhamana hiyo jumatatu,
Siungi mkono maandamano, na wabunge mnahitajika sana bungeni hii susia susia itatucost magamba yatapitisha bajeti za ajabu ohooo!
Dr Peter Slaa, usije ukadhubutu ku boycot bunge, utakuwa umewapa zawadi kama ile ya Maalim kutuitambua serikali ya Amani, mpaka mwaka wa mwisho wa amani maalim alivutwa pembeni, akapewa mfupa, sasa mambo poa znz, lakini kwa miaka 9 amani alifanya alichokitaka.
Dr kama vipi wewe ni binadamu, ombeni msaada kwetu wananchi, hebu lieni kuwa mnashindwa kutusaidia kwa kuonewa ovyo na CCM, sisi tutajua la kufanya, jua jua jeshi la watu milioni 50 linalodhulumiwa na CCM & Co, sema nyinyi wakombozi hamtujulishi mkiumizwa, tutatumia kila njia ya kuhakikisha TUKIPIGWA KOFI MOJA, TUNARUDISHA KOFI MBILI ZA HATARI alisema MALCOM X
God Bless Baba Slaa, God Bless Baba Lowassa, God Bless Chadema, God Bless The City of Arusha!!!
Think bigsisi mbunge wetu hata kama asingepitia chadema tungemchagua, na kule bungeni hawakilishi chama bali anawakilisha wananchi kwahiyo sisi wananchi tuliomchagua ndio tunaweza kumwambia mbunge wetu aende au asiende bungeni na siyo Slaa. Huyu mzee vipi.
Simbaa:Kiongozi bila kujali umejoin lini humu kulingana na status yako, aise nimekukubali mbaya mno! Nimekupa salute aise, umenena vyema kabisa, umeongea mambo ya msingi. Hoja yako naiunga mno kwa 100%.
Karibu sana JF, tunahitaji mawazo na fikra za namna hii Comrade.
kaa chini fikiria vizuriSlaa kwa hili sikubaliani nae hata kidogo.
dr tusikubali kuingizwa mkenge na magamba, wao wanajua bajeti hii ni bomu na pingamizi kubwa litatoka CDM, ziara za mikoani mojawapo ya ajenda kuu ilikuwa ni kuipinga bajeti hii kama itaonesha dalili za kumwelemea mwananchi wa chini sasa tusipoingia bungeni na bajeti ikapitishwa na magamba & co kama ilivyo mtakuwa mmewasaidia nini wananchi.
KWA MARA YA KWANZA NAPINGANA VIKALI NA KAULI YA DR
sisi mbunge wetu hata kama asingepitia chadema tungemchagua, na kule bungeni hawakilishi chama bali anawakilisha wananchi kwahiyo sisi wananchi tuliomchagua ndio tunaweza kumwambia mbunge wetu aende au asiende bungeni na siyo Slaa. Huyu mzee vipi.
Salute Coomrade.Sheria ya mahakama? sheria namba ngapi na ya mwaka gani na inasemaje? Hata ukiwa mpumbavu uwe na kiasi ili walau kila mtu asije akakujua kuwa wewe ni mpumbavu.
Jamani hii imekaaje kwa wanachadema wenzangu?
nimechelewa kidogo news ya ITV sikuipata hii ya Rais wetu, nimekuta NAPE anasema gamba wamejivua sasa ni CCM Mpya, hivi huyu jamaa ana aklli kweli?