Katibu wa chama cha Demokrasia Chaema bwana Willbrodi Slaa amesema wabunge wa Chadema hawataingia ktk vikao vya Bunge Kama Serikali haitomwachia mwenyekiti wa Chadema bwana Freeman Aikaeli Mbowe bila masharti yeyote magumu
Sourse ITV habari 8:00pm
nimechelewa kidogo news ya ITV sikuipata hii ya Rais wetu, nimekuta NAPE anasema gamba wamejivua sasa ni CCM Mpya, hivi huyu jamaa ana aklli kweli?
dr tusikubali kuingizwa mkenge na magamba, wao wanajua bajeti hii ni bomu na pingamizi kubwa litatoka CDM, ziara za mikoani mojawapo ya ajenda kuu ilikuwa ni kuipinga bajeti hii kama itaonesha dalili za kumwelemea mwananchi wa chini sasa tusipoingia bungeni na bajeti ikapitishwa na magamba & co kama ilivyo mtakuwa mmewasaidia nini wananchi.
KWA MARA YA KWANZA NAPINGANA VIKALI NA KAULI YA DR
dr tusikubali kuingizwa mkenge na magamba, wao wanajua bajeti hii ni bomu na pingamizi kubwa litatoka CDM, ziara za mikoani mojawapo ya ajenda kuu ilikuwa ni kuipinga bajeti hii kama itaonesha dalili za kumwelemea mwananchi wa chini sasa tusipoingia bungeni na bajeti ikapitishwa na magamba & co kama ilivyo mtakuwa mmewasaidia nini wananchi.
KWA MARA YA KWANZA NAPINGANA VIKALI NA KAULI YA DR