Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
Fanhamu Nape na Mwigulu ni viongozi wa CCM na si UVCCM. Hivyo kujibiwa na BAVICHA kama hivi ni kuonyesha jinsi walivyo sisimizi katika siasa za bongo. Bravoo BAVICHA kwa kuwaburuza hao vinyagoMwigullu na Nape hivi sasa ndo threat kubwa kwa CDM nini? mbona watu wadogo sana hawa inakuaje wawe tishio kiasi hiki, hapo SANGARA hawajaunguruma. Hakika CDM ni dhaifu, kila siku Nchema, Nape. Siyo vipaumbele vya maendeleo.