MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Waungwana,
Kwa kuwa kila Mtanzania ana haki ya kujiunga na chama chochote kile cha Siasa, basi, kabla ya kujiunga na chama hicho, anayo haki ya kusoma na kukagua katiba za vyama vya siasa ili apate kuelewa, kukubali na/au kukataa sera za vyama hivyo. Kwa mujibu huo, anayo haki ya kupata nakala - iliyochapishwa au ikiwa kwenye mfumo wa tarakinishi - za katiba za vyama hivyo vya siasa.
Je, waungwana, wapi nitapata katiba za vyama vyote vya siasa vilivyosajiliwa hapa nchini?
./Mwana wa Haki
Kwa kuwa kila Mtanzania ana haki ya kujiunga na chama chochote kile cha Siasa, basi, kabla ya kujiunga na chama hicho, anayo haki ya kusoma na kukagua katiba za vyama vya siasa ili apate kuelewa, kukubali na/au kukataa sera za vyama hivyo. Kwa mujibu huo, anayo haki ya kupata nakala - iliyochapishwa au ikiwa kwenye mfumo wa tarakinishi - za katiba za vyama hivyo vya siasa.
Je, waungwana, wapi nitapata katiba za vyama vyote vya siasa vilivyosajiliwa hapa nchini?
./Mwana wa Haki