Katiba Ya Zanzibar Imekiukwa!

Kufunga wakati huu wa ramadhani ni sehemu ya ibada kwa muumini wa dini ya kislam. Nijuavyo au ninavyoamini ibada ni juu mtu na mungu wake. Lazima itoke rohoni kwake maana mbele ya mungu hakuna unafiki. Unaweza ku-pretend kufanya jambo mbele ya binadamu mwenzako lakini sio mbele ya mungu.

Tukirudi kwenye ibada ya kufunga, muumini anatakiwa aoneshe kushinda vishawishi kwa kutokula siku nzima. Lazima itoke rohoni na sio kwa kulazimisha. Sasa hii ya kulazimisha watu inatoka wapi? Kama mtu hakufunga kula (ibada) kinakuhusu nini maana ni juu yake na mungu wake?

Bila shaka unamwelimisha huyo waziri aliyewatangazia wazenji hilo suala
 
Hapa hakuna kufunga, ukweli ni kwamba kilichotokea ni mabadiliko ya ratiba ya kula. Badala ya kula mchana mnakula usiku.
Tena sio mabadiliko ya ratiba tu, bali hata kiwango cha chakula. Aliyekuwa anakula robo kilo ya mchele wakati usio wa mfungo, sasa hivi anatumia nusu kilo!
 
Jana niliweka huu mwongozo MODS wakautoa. Ningependa kujua ni kwanini ulitolewa na matusi ya kukashifu dini nyingine yaliachwa.

Mathayo 6:16 -18
Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga. Nawaambieni hakika, hao wamekwisha pata tuzo lao.
Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta, nawa uso wako, ili mtu yeyote asijue kwamba unafunga, ila ujulikane tu kwa Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika atakutuza.

i

 
Umeamini sasa kama serikali ina dini ?

hata pinda jna kimakusudi kwa kuogopa kuingilia serikali ya mapinduzi zanzibar, naye kaingia kwenye mtego wa kuvunja sheria huku akijua aliapa kuilinda katiba ya jamhuri na kutosema uwongo.waziri mkuu nayeogopa kusema ukweli kwa nini katiba isimhukumu?
 
Katiba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ya mwaka 1984 (Toleo la 2010) katika Kifungu cha 19 (1) inasema:

Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, wa imani na wa uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa kubadilisha dini au imani yake.

Kifungu kidogo cha (2) kinasema: Bila kuathiri sheria zinazohusika na kazi ya kutangaza dini na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiyari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.


Kama hivyo ndivyo:
1. Kwa nini Waumini wa dini nyingine (wasio waislamu) huko Zanzibar kwanini wanalazimishwa kuwa na mfungo wa Ramadhan kinyume na imani zao?

2. Kwanini kiongozi wa serikali (SMZ) ahimize kwamba wale wote wataokwenda kinyume na matakwa ya mfungo atachukuliwa hatua za "KISHERIA?"
,
Mkuu hapo kwenye red ni mazingaombwe tu hayo.
 
Leo UKWELI umejidhihirisha CHADEMA wanasimamia MASLAHI ya nani!

Wewe usiwe na akili kama mbuni. Hoja imetolewa na mbunge mchungaji wa CHADEMA, hivyo CHADEMA imedhihirisha inatetea maslahi ya kundi gani!

Tatizo lililopo ni kwamba tumeaminishwa kuwa kuongelea mambo ya dini na tofauti zilizopo katika dini zetu ni 'udini'. Tena kukaaminishwa pia kuwa kutofautisha mambo ya kidini na ya mamlaka ya kiserikali ni 'udini'. Yaani ni kama vile mambo ya waislamu waongelee waislamu wenyewe na kinyume chake.

Lakini kitu tunachosahau ni kwamba hakuna coexistance kama hatuwezi kuongelea yale yanayotuunganisha katika dini zetu na pia yale tunayotofautiana ili kuwe na mipaka kati yetu. Yaani tuwe pamoja katika yale yanayotuunganisha na tukubaliane kutofautiana katika tofauti zetu zilizo za msingi.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unalegalega kwa kuwa watu hawataki kuongelea vitu hivi pia kwa woga wa kuonekana wachochezi na wapinga muungano, na wote ni mashahidi wa tulipofikia hadi sasa, na hicho ndo kilichosababisha huko Zanzibar hilo tamko kuhusu mfungo litolewe na serikali na pia ndo lililosababisha Pinda atoe jibu la 'kisanii' kwa kuwa kama akisimamia katiba, aliyoapa kuilinda, lazima atapinga kilichosemwa huko Zanzibar, hivyo akaamua kutoa takwimu za kubuni, ambazo zinaweza kuwa karibu na ukweli labda (binafsi sijui) lakini ninachoamini ni kwamba hapakuwa na umuhimu wa kubuni ili kuhalalisha kilichotamkwa.

Wote tutakumbuka pia mjadala wa 'Zanzibar ni nchi au sio nchi' ulivyoenda hadi kuisha kisiasa na kisanii, sasa haya ndio matokeo yake, najua hili suala lingeongelewa kiupana na kikatiba tungerudi kwenye huu mjadala tena, Pinda akaepusha ubawa wake, kwa maneno mengine, Pinda akafunika kombe mwanaharamu apite. Ila mengi yanakuja, na tumeyatafuta kwa kuwa hatujafanya jitihada za makusudi kuyaepusha.

Mtu anapokua mbunge anatumikia wananchi, wawe waislamu, wakristo au wasio na dini! Wananchi hao wanaweza kuwa wengi, au wachache ila lazima wepewe iliyo haki yao, kama inavyotafsiriwa katika katiba.

Hoja kutolewa na mbunge wa CDM sio hoja kuu hapa!? Suala ni usahihi wa kilichotendeka, hasa kwa kufuata katiba iliyopo ambayo inasema, dini ni jambo la hiyari la mtu binafsi na sio la nchi.
 
kuna nchi Duniani hapa Ndani ya katiba zao dini zimetajwa mpaka madhehebu,mfano iran,pakistan,Uingereza,Etc.,
Kama zanzibari Katiba yao imetamka kuwa dini ya nchi yao ni Uislam tena haushii hapo ukataja na dhehebu shia au answali,basi tamko lao la kupg marufuku walivyovitaja liko sahih kama hakuna basi wamekosea,na kama zenji asilimia 99 hao asilimia moja wanatosha kuwa na uhuru wao bila kuathiri mienendo ya dini nyingine.
 
Ivi nyinyi watanganyika hamna cha kujadili leo.katiba ya znz si ya muunga,utamaduni na dini si muungano.
Katiba yenu imesema nchi yenu haina dini sawa. LAKINI katiba ya znz imenyamaza.
Pigeni mazogo bungeni ukija znz ukila hadharani, ukitembea uchi utakwenda jela hii inchi nyengine sio ya kikafiri km yenu. Wa2 wana dini yao na utamaduni wao. Shuhulikeni na yenuuu
 
Tupunguze jaziba, dini isiwe taabu, waacheni zanzibar waamue mambo yao kwa kuwa waislamu wako 99%, sheria ya dini yao itawale huko. Kinachonisikitisha, tangu mwezi mtukufu umeanza, biashara yangu ya kuuza nguruwe, haiendi. naomba mwezi mtukufu uishe, ili biashara yangu iendelee.
 
ZNB ni ka nchi kanako ongozwa na watu wenye msisimko wa ufisadi na tabia za kupenda ubinafsi kupita kiasi, wakijidai wanautauwa na uchaji wa Mungu kumbe asilimia kubwa wanapenda: KUOA WAKE WENGI,Kupenda waganga, wapiga ramli, uasherati! Hawana udini wowote wa kufananisha hawajitambui. Hako kamkoa sikapendi hata kukasikia nikiona wabunge wa kutoka huko hata kwenye tv nasikia hasira!! aagrr,aah!! Alafu ooh Tanganyika inatutawala nyie tuwatawale mnanini kweli hamjijui mnatunyonyo na kututesa,
 
ZNB ni ka nchi kanako ongozwa na watu wenye msisimko wa ufisadi na tabia za kupenda ubinafsi kupita kiasi, wakijidai wanautauwa na uchaji wa Mungu kumbe asilimia kubwa wanapenda: KUOA WAKE WENGI,Kupenda waganga, wapiga ramli, uasherati! Hawana udini wowote wa kufananisha hawajitambui. Hako kamkoa sikapendi hata kukasikia nikiona wabunge wa kutoka huko hata kwenye tv nasikia hasira!! aagrr,aah!! Alafu ooh Tanganyika inatutawala nyie tuwatawale mnanini kweli hamjijui mnatunyonyo na kututesa,

Kaka kweli yamo kwa katiba yao.
 
wajitangazie uhuru wao, coz wana jeshi lao kilakitu chao.
Labda kama hawajachoka kubakwa na watanganyika
 
mkuu siidhani hili suala la dini kama lipo kwenye katiba ya zanzibar na kama lipo basi wadau watakuja kusema hapa
 
ZNB ni ka nchi kanako ongozwa na watu wenye msisimko wa ufisadi na tabia za kupenda ubinafsi kupita kiasi, wakijidai wanautauwa na uchaji wa Mungu kumbe asilimia kubwa wanapenda: KUOA WAKE WENGI,Kupenda waganga, wapiga ramli, uasherati! Hawana udini wowote wa kufananisha hawajitambui. Hako kamkoa sikapendi hata kukasikia nikiona wabunge wa kutoka huko hata kwenye tv nasikia hasira!! aagrr,aah!! Alafu ooh Tanganyika inatutawala nyie tuwatawale mnanini kweli hamjijui mnatunyonyo na kututesa,
Wewe acha kuongea pumba mafisadi wakubwa dunia hii ni Watanganyika, waganga na washirikina wenye imani potofu wako Tanganyika, hujapatapo kusikia Wazanzibari kuuwa vizee kwa kisingizio cha uchawi, kuuwa walemavu wa ngozi kwa sababu za kishirikina. Zanzibar ina ustaarabu wake na Tanganyika ina ustaarabu wake.Watanganyika ni watu mmekosa imani kwenye nyoyo zenu mnauwana kwa shilingi mia tu, kila siku tunayaona kwenye vyombo vya habari.Infact, we have nothing in common. Katiba ya Zanzibar kukiukwa isimuumize kichwa Mtanganyika kwa sababu haimuhusu. Zanzibar for Zanzibaris:A S angry:
 
Wewe acha kuongea pumba mafisadi wakubwa dunia hii ni Watanganyika, waganga na washirikina wenye imani potofu wako Tanganyika, hujapatapo kusikia Wazanzibari kuuwa vizee kwa kisingizio cha uchawi, kuuwa walemavu wa ngozi kwa sababu za kishirikina. Zanzibar ina ustaarabu wake na Tanganyika ina ustaarabu wake.Watanganyika ni watu mmekosa imani kwenye nyoyo zenu mnauwana kwa shilingi mia tu, kila siku tunayaona kwenye vyombo vya habari.Infact, we have nothing in common. Katiba ya Zanzibar kukiukwa isimuumize kichwa Mtanganyika kwa sababu haimuhusu. Zanzibar for Zanzibaris
A%20S%20angry.gif
 
ZNBinaongozwa na watu wenye akili hafifu ndiyo maana wanatamani wawe wafalme bara! hilo halitawezekana asilani abadani! Mpemba gani atakae kuja huku bara agombee na apate hata ubunge aagrr!! acha ubunge agombee udiwani tu
 
Tena sio mabadiliko ya ratiba tu, bali hata kiwango cha chakula. Aliyekuwa anakula robo kilo ya mchele wakati usio wa mfungo, sasa hivi anatumia nusu kilo!
Mkuu asante sana kwa kunikumbusha na hili la kiasi cha chakula, nilikuwa nimelisahau kabisa.
 
Back
Top Bottom