Katiba Ya Zanzibar Imekiukwa!

tatanyengo

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
1,134
280
Katiba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ya mwaka 1984 (Toleo la 2010) katika Kifungu cha 19 (1) inasema:

Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, wa imani na wa uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa kubadilisha dini au imani yake.

Kifungu kidogo cha (2) kinasema: Bila kuathiri sheria zinazohusika na kazi ya kutangaza dini na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiyari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.

Kama hivyo ndivyo:
1. Kwa nini Waumini wa dini nyingine (wasio waislamu) huko Zanzibar kwanini wanalazimishwa kuwa na mfungo wa Ramadhan kinyume na imani zao?

2. Kwanini kiongozi wa serikali (SMZ) ahimize kwamba wale wote wataokwenda kinyume na matakwa ya mfungo atachukuliwa hatua za "KISHERIA?"
 
Katiba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ya mwaka 1984 (Toleo la 2010) katika Kifungu cha 19 (1) inasema:

Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, wa imani na wa uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa kubadilisha dini au imani yake.

Kifungu kidogo cha (2) kinasema: Bila kuathiri sheria zinazohusika na kazi ya kutangaza dini na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiyari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.

Kama hivyo ndivyo:
1. Kwa nini Waumini wa dini nyingine (wasio waislamu) huko Zanzibar kwanini wanalazimishwa kuwa na mfungo wa Ramadhan kinyume na imani zao?

2. Kwanini kiongozi wa serikali (SMZ) ahimize kwamba wale wote wataokwenda kinyume na matakwa ya mfungo atachukuliwa hatua za "KISHERIA?"

Umeamini sasa kama serikali ina dini ?
 
CDM na kanisa ni vigumu kuvitenganisha kama muislam na mckiti hilo swali kampe waziri wako mkuu pinda naona jibu analo hapa hutopata jibu mambo ya z'bar wachie wazanzibar wenyewe kama una njaa katafute kitimoto ule au kama unaumwa nenda kaombewe kwa mchungaji fulani pale kati
 
Kufunga wakati huu wa ramadhani ni sehemu ya ibada kwa muumini wa dini ya kislam. Nijuavyo au ninavyoamini ibada ni juu mtu na mungu wake. Lazima itoke rohoni kwake maana mbele ya mungu hakuna unafiki. Unaweza ku-pretend kufanya jambo mbele ya binadamu mwenzako lakini sio mbele ya mungu.

Tukirudi kwenye ibada ya kufunga, muumini anatakiwa aoneshe kushinda vishawishi kwa kutokula siku nzima. Lazima itoke rohoni na sio kwa kulazimisha. Sasa hii ya kulazimisha watu inatoka wapi? Kama mtu hakufunga kula (ibada) kinakuhusu nini maana ni juu yake na mungu wake?
 
Huo ndio Uislamu dini ya amani iliyotoka kwa Mungu, kila kitu ni JIHAD tu hakuna willingness ya mioyo ya watu.Ni mwendo wa amri amri kama vile uko Jeshini. Sijui ni Mungu gani anayeaangalia matendo ya kulazimisha au kulazimishwa na si utayari wa muhusika kutoka moyoni. Mimi kwa haya yanayofanywa na waislamu pamoja na viongozi wao naamini kutoka moyoni kwamba huyu Mungu wanayemtumikia ni Mungu wa pekee sana tofauti na Mungu wa Imani zingine.
 
Leo UKWELI umejidhihirisha CHADEMA wanasimamia MASLAHI ya nani!
watu wengine kama hoja huna ni bora ukalale mapema kuliko kuleta mambo ya kashata na kahawa kwenye jukwaa la watu makini. Mleta hoja kaongelea point na zaidi ameonyesha ni kwa namna gani katiba ya Zanzibar imevunjwa. Wewe kwa uelewa wako mdogo wa hata kushindwa kutambua mada inayojadiliwa unaibuka na mambo ya CHADEMA. Kwa uelewa wako CHADEMA wanahusika vipi hapa wakati hata katika maandalizi ya hiyo Katiba ya Zanzibar hawakushirikishwa.

Ushauri: Siyo makosa kushughulisha akili yako, kwani kufanya hivyo utapanua uelewa wako. Pia siyo vichwa vyote vyenye nywele zina akili (chanzo: Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya JMT Bungeni wiki jana).
 
Wewe usiwe na akili kama mbuni. Hoja imetolewa na mbunge mchungaji wa CHADEMA, hivyo CHADEMA imedhihirisha inatetea maslahi ya kundi gani!
 
CDM na kanisa ni vigumu kuvitenganisha kama muislam na mckiti hilo swali kampe waziri wako mkuu pinda naona jibu analo hapa hutopata jibu mambo ya z'bar wachie wazanzibar wenyewe kama una njaa katafute kitimoto ule au kama unaumwa nenda kaombewe kwa mchungaji fulani pale kati
Aisee, wacha kutaja kitimoto. Mauzo ya kitimoto yamepungua sana katika kipindi hiki cha mfungo. Yatarejea tena katika hali yake ya awali wakati wakati mfungo umeisha maana walaji waliofunga wataingia tena sokoni. Si kitimoto tu, hata sigara zimeathiriwa na huu mfungo.
 
Huo ndio Uislamu dini ya amani iliyotoka kwa Mungu, kila kitu ni JIHAD tu hakuna willingness ya mioyo ya watu.Ni mwendo wa amri amri kama vile uko Jeshini. Sijui ni Mungu gani anayeaangalia matendo ya kulazimisha au kulazimishwa na si utayari wa muhusika kutoka moyoni. Mimi kwa haya yanayofanywa na waislamu pamoja na viongozi wao naamini kutoka moyoni kwamba huyu Mungu wanayemtumikia ni Mungu wa pekee sana tofauti na Mungu wa Imani zingine.
Point. mungu dikteta ni wa kuogopwa sana.
 
Hapa hakuna kufunga, ukweli ni kwamba kilichotokea ni mabadiliko ya ratiba ya kula. Badala ya kula mchana mnakula usiku.
 
CDM na kanisa ni vigumu kuvitenganisha kama muislam na mckiti hilo swali kampe waziri wako mkuu pinda naona jibu analo hapa hutopata jibu mambo ya z'bar wachie wazanzibar wenyewe kama una njaa katafute kitimoto ule au kama unaumwa nenda kaombewe kwa mchungaji fulani pale kati

Mbona unakuwa mwoga kujielekeza kwenye hoja iliyoletwa. Kwani hoja anayoileta unaipa majibu ya jumla jumla kwamba haijibiki hapa jamvini. Unawakilisha akili za watu gani hao unaowasemea? Hoja ipi iliyo ngumu kwako unayohitaji Pinda akusaidie kuijibu? Kwamba katiba imekiukwa unahitaji elimu gani kujua hilo? Zanzibar si nchi ya Kiislamu hilo lipo kwenye katiba si ya muungano tu bali hata ile ya zanzibar. Njia bora ya kuifanya Zanzibar iwe ya kiislamu ni kupitia kura ya maoni au kwa kujitenga na muungano si kabla ya hapo. Hilo likipitishwa kikatiba nani atakuwa na ugomvi nalo. Kuwaona wanaokula nguruwe kuwa ni watu duni na kuwatukuza wanakula ngamia ni ufinyu katika kuchambua mambo. Huu udini wenu utawafikisha pabaya.
 
Mbona mwapanda magari mazuri,
yaundwayo na wala nguruwe namba moja Duniani??
Kama kuto kula nguruwe ni welevu?
Kwa nini mpande Mabenzi yenye unajisi?
kwa nini mpande BMW zenye unajisi?
Maengineer wa kijerumani,
Main menu yao kuu nyama ya PIG,
ngozi ya viti vya benzi,
yalainishwa kwa mafuta ya pig,
kapeti la benzi nalo pia,
lote manyoya ya pig,
Rangi za kumeremeta?
lainishwa kwa mafuta ya pig,
Meli zenu asilia za mbao,
mwatamani za wala nguruwe,
mwaagiza meli za wala nguruwe,
boti za mwendo kasi na michezo,
Wanja losheni lipustiki,
zote mafuta ya pig,
Plastic za compoter rangi pia,
zimejaa mafuta ya pig,
Nawapa hakika chungu,
bila mafuta ya pigi ujima wenu daima.

Mchele mwaagiza asia,
wao ni wala nguruwe pia!
Umelimwa kwenye vijaluba rutuba,
mavi ya pigi watu mbolea safi,
Kama kuto kula nguruwe ni akili,
ninyi mngetawala dunia,
magari hewani mngeunda,
dunia za mbali vyombo peleka,
wala nguruwe wamewatangulia,
kunajisi mwezi kwa mshikaki wa pig,
mwezi mtautawazaje? udhu kuutia?
Ujima mahoka mwasumbuka,
zama enzi pitwa wakti,
Elimu kanuni peleleza,
kwa upana kilindi bahari,
ujuzi gandishwa wakti bakia nyuma,
Ukale shikiria gandamiza sheria.
 
Haya madini tumeletewa na marafiki/washikaji zetu Waarabu na Wazungu. Si rahisi kupata rafiki aliyetimilika kwa mambo yote, lakini unapochagua rafiki jaribu basi kuangalia angalau mwenye akili na maendeleo. Sasa Mwarabu na Mzungu nani zaidi? Ukifuata akili ndogo utegemea kuwa na akili finyu. Poleni
 
Katiba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ya mwaka 1984 (Toleo la 2010) katika Kifungu cha 19 (1) inasema:

Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, wa imani na wa uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa kubadilisha dini au imani yake.

Kifungu kidogo cha (2) kinasema: Bila kuathiri sheria zinazohusika na kazi ya kutangaza dini na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiyari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.

Kama hivyo ndivyo:
1. Kwa nini Waumini wa dini nyingine (wasio waislamu) huko Zanzibar kwanini wanalazimishwa kuwa na mfungo wa Ramadhan kinyume na imani zao?

2. Kwanini kiongozi wa serikali (SMZ) ahimize kwamba wale wote wataokwenda kinyume na matakwa ya mfungo atachukuliwa hatua za "KISHERIA?"

inamaana hapo anafanya kulazimisha na anamaanisha Zanziba inaendeshwa kwa misingi ya kiislamu siyo!
 
CDM na kanisa ni vigumu kuvitenganisha kama muislam na mckiti hilo swali kampe waziri wako mkuu pinda naona jibu analo hapa hutopata jibu mambo ya z'bar wachie wazanzibar wenyewe kama una njaa katafute kitimoto ule au kama unaumwa nenda kaombewe kwa mchungaji fulani pale kati

ww ni miongoni mwa wale wanaokunywa pombe leo wanakuja kulewa siku tatu baadae!
 
Back
Top Bottom