Katiba ya Kenya ni kama vile inataka kuwa ya USA

Nchi zote za Afrika zilianzishwa na wazungu bila kuzingatia tofauti za lugha, ukabila, kidini na utamaduni wa watu. Kama kuna mtu anayefikiri kuna uwezekano wa nchi yeyote (isipokuwa Somalia) ambayo ingebuni sera za kikatiba ikifuatilia utamaduni wa wananchi walio katika nchi hio pekee (kama vile eliakeem anawashiria kwa kipachiko chake ), huyo mtu hafahamu kabisa ugumu na utata unayokumba mataifa ya Afrika. Kenya, Tanzania, Nigeria, Africa Kusini, na nchi zinginezo haziwezi linganishwa na nchi kama vile ufaransa, uingereza, uhispania au ureno ambazo ziliundwa kufuatilia mila na lugha. Pia, nchi nyingi hazikuwahi kutawalwa na wakoloni kama ilivyo hapa. Wakati tulipopata uhuru, tuliridhi institutions za wakoloni na hata wa leo, sera nyingi hapa Afrika zinafuatilia sera za ukoloni.

The problem is; it doesn't protect minority Kenyans, and it's also anti-business
 
The problem is; it doesn't protect minority Kenyans, and it's also anti-business


Instead of making sweeping/general claims, why don't you specify how the constitution fails to protect minorities (preferably by pointing out the relevant sections). Would you also mind providing insights on how the constitution (having been endorsed by Kenya Private Sector Alliance and the Kenya Association of Manufacturers) is bad news for business?

Otherwise we are going to think that your claims are unfounded, and that you have a habit of saying things you know nothing about.
 
Instead of making sweeping/general claims, why don't you specify how the constitution fails to protect minorities (preferably by pointing out the relevant sections). Would you also mind providing insights on how the constitution (having been endorsed by Kenya Private Sector Alliance and the Kenya Association of Manufacturers) is bad news for business?

Otherwise we are going to think that your claims are unfounded, and that you have a habit of saying things you know nothing about.

Yes, it's a bad news for Asian investors:eek2:
 
Asians voted overwhelmingly for the draft. I would advice you to do some investigations before making uninformed claims, coz you now really sound like a dumbass.

Thanks mzee umenisaidia kumjibu huyu jamaa maana yeye kila kitu anabaguliwa anatafuta sympathy humu JF
 
Nchi zote za Afrika zilianzishwa na wazungu bila kuzingatia tofauti za lugha, ukabila, kidini na utamaduni wa watu. Kama kuna mtu anayefikiri kuna uwezekano wa nchi yeyote (isipokuwa Somalia) ambayo ingebuni sera za kikatiba ikifuatilia utamaduni wa wananchi walio katika nchi hio pekee (kama vile eliakeem anawashiria kwa kipachiko chake ), huyo mtu hafahamu kabisa ugumu na utata unayokumba mataifa ya Afrika. Kenya, Tanzania, Nigeria, Africa Kusini, na nchi zinginezo haziwezi linganishwa na nchi kama vile ufaransa, uingereza, uhispania au ureno ambazo ziliundwa kufuatilia mila na lugha. Pia, nchi nyingi hazikuwahi kutawalwa na wakoloni kama ilivyo hapa. Wakati tulipopata uhuru, tuliridhi institutions za wakoloni na hata wa leo, sera nyingi hapa Afrika zinafuatilia sera za ukoloni.
Tufanyeje ili tuwe na vitu vya asili ya kwetu, MAANA VYA KUIGA VIMETUSHINDA,
MFANO MDOGO TU NI MUSEVENI, KATIBA YA NCHI (IMEDURUFIWA TOKA NCHI ZA MAGHARIBI) INASEMA UKOMO WA URAIS NI MIAKA 10, LAKINI MUSEVENI ANANG'ANG'ANIA KUTAWALA ZAIDI YA KIPINDI HICHO, KWA MTAZAMO WA MUSEVENI HILO SI KOSA KWA SABABU KATIKA UTAWALA WA MACHIFU AMBAYO NI ASILI YAKE, MFANO KABAKA HAKUNA KIKOMO CHA MUDA WA UTAWALA.
MWISHO, KWA KUWA KATIBA ZETU NI MRUDUFU WA ZILE ZA MAGHARIBI NDIYO MAANA KUNA MWANYA MKUBWA SANA WA UTEKELEZAJI KATI YA YALE YALIOANDIKWA KWENYE KATIBA NA UTENDAJI HALISI (KUIFUATA).
 
Tufanyeje ili tuwe na vitu vya asili ya kwetu, MAANA VYA KUIGA VIMETUSHINDA,
MFANO MDOGO TU NI MUSEVENI, KATIBA YA NCHI (IMEDURUFIWA TOKA NCHI ZA MAGHARIBI) INASEMA UKOMO WA URAIS NI MIAKA 10, LAKINI MUSEVENI ANANG'ANG'ANIA KUTAWALA ZAIDI YA KIPINDI HICHO, KWA MTAZAMO WA MUSEVENI HILO SI KOSA KWA SABABU KATIKA UTAWALA WA MACHIFU AMBAYO NI ASILI YAKE, MFANO KABAKA HAKUNA KIKOMO CHA MUDA WA UTAWALA.
MWISHO, KWA KUWA KATIBA ZETU NI MRUDUFU WA ZILE ZA MAGHARIBI NDIYO MAANA KUNA MWANYA MKUBWA SANA WA UTEKELEZAJI KATI YA YALE YALIOANDIKWA KWENYE KATIBA NA UTENDAJI HALISI (KUIFUATA).

Well those position were informed by the fact that Kenyans needed and demanded devolution of resources. Lack if this devolution is what caused a lot of the inequalities that exists in Kenya today, it was also a major contributor to the post election violence of 2007. Now with devolution of resources come devolution of power as people need to elect people that will manage their resources at the grass root. The names senator or Governor are just that ....name, its the system that u should try to understand. Also try to understand where Kenya is coming from and all this will begin to make sense.

This is not about copying if it was then i guess we all do copy from others, its about finding a system that suits your country and reflects yout needs and aspiration.
 
Well those position were informed by the fact that Kenyans needed and demanded devolution of resources. Lack if this devolution is what caused a lot of the inequalities that exists in Kenya today, it was also a major contributor to the post election violence of 2007. Now with devolution of resources come devolution of power as people need to elect people that will manage their resources at the grass root. The names senator or Governor are just that ....name, its the system that u should try to understand. Also try to understand where Kenya is coming from and all this will begin to make sense.

This is not about copying if it was then i guess we all do copy from others, its about finding a system that suits your country and reflects yout needs and aspiration.
Capitalism triumphs in west, but fails every where (de Soto). I mean every system established in west, do well in their territories, but fall shorts in our lands. what should we do so as to have our thing (of Africa origin) which is easy to implement on the ground and last longer?
Tafadhali nijibu Mnarb
 
Capitalism triumphs in west, but fails every where (de Soto). I mean every system established in west, do well in their territories, but fall shorts in our lands. what should we do so as to have our thing (of Africa origin) which is easy to implement on the ground and last longer?
Tafadhali nijibu Mnarb

Has it failed is South Kore Japan, China, Singapore, South Africa??? i don't think so. I think what Africa and Kenya should be looking at is the miracle of the last few decades that has seen Asian countries developed so fast. Maybe we can copy them and move our economies forward
 
unajua kuna posts zingine unazisoma hapa yaani hadi unataka kucheka, unajuakwanini sisi binadamu ni viumbe bora? ni kwa sababu tuna uwezo wa kujua the good and the bad, America is good that's why it's the best, kenyan's want to line with the good side watanzania mnawaonea donge,
Mfano hai nenda CHINA, Bila ya kuiga, CHINA ingekua hapo ilipo? and at that short period of time? China only copies the good side .
 
wana jf,

katika kupitia gazeti la kenya leo daily nation naona hawa ndugu zetu wa kenya katiba yao ina mwelekeo kama fumo fulani wa usa naona watu wanagombea majimbo yanakuwa na watu wanatakao waongoza kwa majimbo yao na kila jimbo kujitegemea na ukichemka tu kama kiongozi inakula kwako.
nafikiri hii ya mtu akichemka anatolewa ni nzuri ili kuwafanya watu kuto-kubinafsisha majimbo kama ilivyo kwa tanzania, mtu anachemka miaka kibao but the system makes him/her returns by corruptions or other means.
 
Not good for business, it supports xenophobia and racism for the minorities!

You Indians, you are like a person riding on a lion's back, he holds it tight, because he knows once he falls off, he will be eaten in every bit of his flesh. That's why, you keep sponsoring CCM with our own money. But again, if you were doing genuine business,declaring and paying all the taxes, mingling with the natives, without having to leave in separate areas, nobody would have cared! See, now you support the central government bureaucraric role, so that you can take advantage of it, as you always do, no matter how it badly affects the development of the natives. I am not a racist, but you guys, need to re think. I know what you definition of business is, ....and other smart people do!
 
Capitalism triumphs in west, but fails every where (de Soto). I mean every system established in west, do well in their territories, but fall shorts in our lands. what should we do so as to have our thing (of Africa origin) which is easy to implement on the ground and last longer?
Tafadhali nijibu Mnarb

Mkuu, i think capitalism, with a bit of socialism in managing it, is optimal..the anarchy of both is deadlier. The Social part of it, is important because of our level of development, so that it can't breed the the primitive wealth accumulators of Moi, Biwot, Matiba, Kenyatta, Mkapa, Rostam and Lowassa type. Please Read: The Age of Turbulence (a good masterpiece btw) by Alan Greenspan, though was a chairman of the fed himself, he admits you need a bit of socialism even in developed economies. But still capitalism is a trigger and an a engine of economic growth. Kenya's i think, was a primitive capitalism, that's why majority of them are still poorer than the former socialist Tanzanians. Without capitalism, the existence of capital owners, everybody will be a boss, nobody will work..you know the outcome!
 
Mkuu, i think capitalism, with a bit of socialism in managing it, is optimal..the anarchy of both is deadlier. The Social part of it, is important because of our level of development, so that it can't breed the the primitive wealth accumulators of Moi, Biwot, Matiba, Kenyatta, Mkapa, Rostam and Lowassa type. Please Read: The Age of Turbulence (a good masterpiece btw) by Alan Greenspan, though was a chairman of the fed himself, he admits you need a bit of socialism even in developed economies. But still capitalism is a trigger and an a engine of economic growth. Kenya's i think, was a primitive capitalism, that's why majority of them are still poorer than the former socialist Tanzanians. Without capitalism, the existence of capital owners, everybody will be a boss, nobody will work..you know the outcome!

Thanks bro.
That is great, we need to have a sort of mixed systems like China. China managed to do that..... and they call it SOCIALISTIC MARKET ECONOMY. Its philosophy is to try to the best to incorporate many (if not all) citizens to the economy.
We, African, have to think on how to mix the systems to our compartible ratio.
 
Unlike individuals living in industrial countries who are influenced by corporate and bureaucratic structures people living in Africa are still more influenced by tradition than a written legal regime, more by community than by the state.



Even if tradition may be giving way, the road to the rule of law is still long as evident in breaches of human rights by the authorities and the increased sense of personal insecurity that Kenyans have.


The problem in Kenya and the rest of Sub-Saharan Africa is that institutionalization of structures that allow for a planned and strategic approach to development, are still few and far apart.

Its all good,katiba ya US ndio imefanya US superpower & Democratic...hope will do the same for Kenyans,nafikiri wakiwa serious na kufuata vizuri kenya in 20 yrs watakuwa out of africa.
 
Back
Top Bottom