USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Kitendo cha wabunge waCCM kuendelea kutengeneza malumbano ya kuwakataa Wakurugenzi wa halmashauri na kulazimisha kuwa wakuu wa wilaya ndiyo wanafaa kuongoza tume ya kuratibu maoni na kuendeleza vijembe tena katika michango yao kinaashiria jinsi wasivyokuwa na dhamira ya kuleta katiba nzuri na yenye maslahi na taifa jamani wabunge wa Ccm mbona mnajichafua kila kukicha,wengine wanadiriki kusema eti wakurugenzi hawako kwenye katiba ya ccm hivyo mkuu wa wilaya basi pia na vyama vingine vipendekeze wenyeviti wa wilaya kuwa wajumbe km ccm wanavyopendekeza wakuu wa wilaya