KATIBA: Salim, Warioba wakutana na Dr. Slaa

Kama wameanza majadiliana huo ndio uungwana, kila la heri mliokoe taifa katika dhahama inoyotaka kutokea. Hatutaki yatokee ya Libya. Nilipenda yule Agripa mama mbunge wa Kigoma huko aliwapasha kwamba kuwa mjengoni si kwamba mna aikli kuliko WaTZ milioni 40 walio nje ya mjengo. Ndio maana unaona wazee-senior citizens- wameamua kutumia busara za ziada ambazo ni hadimu kupatikana mjengoni
 
Nimependa umakini wa Walioba na udadisi wa Salim kama picha inavyojisoma.

Slaa naye anaonekana kuwapa fact kwa umakini,ujasiri na kwa uwazi kweli.

Nape ameisoma hiyo? kama hajui,hata picha haoni? Hawa wazee wamesoma alama za nyakati.
 
Duh Tanzania ilikosa bahati kubwa laiti mizengwe ya CCM ingewekwa kando Salim A Salim angetusaidia waTanzania.Leo tunalialia kama watoto wadogo Kikwete nchi imemshinda.
Ngongo machozi yanataka kunidondoka kwa jinsi ulivyogusa mtima wa moyo kwa kauli hiyo. Ni kweli nchi imemshinda Kikwete, nadhani aliingia ikulu ili ajitarishe yeye binafsi na si kushungulikia matatizo ya watanzania.
 
Baada ya jakaya kumaliza ngwe ninawashauri sana ccm wenzangu, hili jembe ulaya dkt. Salimu ahmed salimu apewe nafasi kuitendea haki nchi hii walau kuwatuliza wahenga wetu na kuzika tofauti zetu.
 
Nimependa umakini wa Walioba na udadisi wa Salim kama picha inavyojisoma.

Slaa naye anaonekana kuwapa fact kwa umakini,ujasiri na kwa uwazi kweli.

Nape ameisoma hiyo? kama hajui,hata picha haoni? Hawa wazee wamesoma alama za nyakati.
 
Hata wakibaliana hapa mambo ya msingi kuna vichwa kama Lusinde hawatakubaliana na makubaliano haya I think this is wastage of time Makubaliano yalikuwa yafanyike mbele ya Waziri anaye husika

Tufahamu wazi kuwa CCM kinatafuta kila roop ili kiendelee kubaki madarakani na hapa watapata nafasi kupitia namna ya kuunda tume aya uchaguzi ambayo rais atakuwa anawateua " SUBIRINI MTAONA "
 
Ikifika wakati licha ya uduni wetu ndani ya chama, maisha ya kawaida ya wajuva jasho, na nitakuwa bado kijana wa makamo by then inshaalah tutajitokeza hapa ndani kwa majina yetu, barabarani kumsihi na kumuomba dkt. Salim atusaidie japo kwa 5yrs kisha atuache salama...... Naamini ndie mbadala sahihi wa jakaya.
 
Hatua hii ni ya muhimu zaidi kwa mustakabali wa Taifa letu, kuliko ule ushabiki na kejeli unaoendelea Bungeni. Viva wazee wetu wa busara.
 
Brother Nape i know wewe ni mdau mzuri wa JF (though you may have several identities) but say a word and i shall be happy to know where you stand on this issue.... beba jambo hili kama mtanzania na si kama a leader of certain political party...please
 
Nilishangaa sana kuwa CCM ni chama kikongwe jee kinakosa watu wachache wenye uelewa wa mambo?kumbe bado wapo ila wamekaa pembeni hawajishughulishi na ujinga ufanywao kila siku na watendaji
kikwete mbishi na hapendi kukoselewa anajifanya anajua kila kiiiitu!
 
hao hawana uwezo, wanawaongopea chadema masikini. wanatafuta muafaka kwa kuwabembeleza ccm, cuf ndio kiboko ya ccm.
 
Brother Nape i know wewe ni mdau mzuri wa JF (though you may have several identities) but say a word and i shall be happy to know where you stand on this issue.... beba jambo hili kama mtanzania na si kama a leader of certain political party...please
NAPE anaumwa amelazwa tangu jana
 
hata wakibaliana hapa mambo ya msingi kuna vichwa kama Lusinde hawatakubaliana na makubaliano haya I think this is wastage of time Makubaliano yalikuwa yafanyike mbele ya Waziri anaye husika

Tufahamu wazi kuwa CCM kinatafuta kila roop ili kiendelee kubaki madarakani na hapa watapata nafasi kupitia namna ya kuunda tume aya uchaguzi ambayo rais atakuwa anawateua " SUBIRINI MTAONA "
We mhaya ? roop= loop ->loop-hole? ..utani tu mkuu..!
 
Hawa wazee wanasikilizwa kweli huko CCM? Hawa si ndio Makamba aliwaita wahuni? Let us wait and see.
 
hata wakibaliana hapa mambo ya msingi kuna vichwa kama Lusinde hawatakubaliana na makubaliano haya I think this is wastage of time Makubaliano yalikuwa yafanyike mbele ya Waziri anaye husika

Tufahamu wazi kuwa CCM kinatafuta kila roop ili kiendelee kubaki madarakani na hapa watapata nafasi kupitia namna ya kuunda tume aya uchaguzi ambayo rais atakuwa anawateua " SUBIRINI MTAONA "

Mkuuu ni ndoto kula mchana na kuota kesho unakuwa tajiri.
Waziri ana mamlaka yoyet yeye nikibalaka ni kupokea Amri toka juu.
 
Uwepo wa mzee pius pale dodoma una ishara ya ujumbe mzito nyuma ya pazia, jk siyo mzembe kama kina lusinde, anajua siasa za majukwaa na mijengoni, amepima keshaona hapati msaada wa kiufundi kuelekea ndoto yake ya kupata katiba, umeona akina kabudi/bana walivyo haribu unadhani atakaa kimya?

Yalotokea dodoma hayajengi nchi bali yanatupasua tu, kuna mazito pale yameripuwa na wadau. Heko wazee na mwenye nchi mmeona yafanyieni kazi
 
Nilishangaa sana kuwa CCM ni chama kikongwe jee kinakosa watu wachache wenye uelewa wa mambo?kumbe bado wapo ila wamekaa pembeni hawajishughulishi na ujinga ufanywao kila siku na watendaji

kama ivo vichwa viwili, vimetulia na vinaona mbali sana.
Sio wale mabogasi kule mjengoni.
 
Dr. Jambo la kwanza waambie hivi- zanzibar walishakaa peke yao mwaka juzi wakajadili mambo yao na kutengeneza katiba yao; nasi watanganyika tunataka tukae peke yetu tujadili mambo yetu tutengeneze katiba yetu, then ndio tukae mezani pamoja na zanzibar tukubaliane katiba ya pamoja. Kwa nini wao zanzibar wajadili mambo ya tanganyika? Kwa nini wao hawakutaka mtanganyika yeyote ajadii mambo ya wazanazibar?

Pili, tunataka bunge la katiba litakalochaguliwa na wananchi ambalo kila mwananchi atakuwa na haki ya kuchaguliwa. Bunge la sasa ni la wanaiasa tena wa vyama vya siasa; je wasio na vyama vya siasa (na hili ndilo kundi kubwa) wanawakilishwa vipi? Tunataka wote tuhusishwe tangu hatua za mwanzo hadi mwisho siyo kwenye kupiga kura ambayo itaongozwa na tume ya uchaguzi ya ccm. ambayo eti hakuna kuwaeleza wananchi kuwa katiba ni mbaya, eti ukipiga kampeni wakati si mwanatume unafungwa bila faini. Kwa nini hawataki wananchi waelezwe mabaya ya katiba watakayoitunga?
 
Niliandika katika thread moja juzi kwamba wazalendo wa Tanzania bila kujari itikadi za vyama,rangi,kabila na elimu ya mtu watakaa pamoja na kuandika katiba mpya. Tuwapuuze hawa wabunge wa CCM na CUF wanaoropoka bungeni kama mavuvuzela.
 
Back
Top Bottom