KATIBA: OPEN MARRIAGE. It’s Motto – SEX is not an issue, It is a Pleasure!

heheh Erotica hii ndio ile katiba mpya imeanza kutumika?

Halaf simu yako haipatikani. uko na nani leo? katiba hairuhusu kuzima sim
 
Last edited by a moderator:
Erotica hatujamaliza zoezi moja tumeingia lingine .....duh kila kukicha huwa nawaza leo umebandika nini
 
Last edited by a moderator:
Hii wataiweza wale wanachukulia ndoa ni kwaajili ya kujifurahisha kimwili tu na si vinginevyo. Yaani nimruhusu wife kuwa na mtu mwingine at the same time nami nijichukulie kiburudisho kingine hamu ikirudi kwa wife nirudi dah hii kali siwezi hata kwa mtutu
 
Hii wataiweza wale wanachukulia ndoa ni kwaajili ya kujifurahisha kimwili tu na si vinginevyo. Yaani nimruhusu wife kuwa na mtu mwingine at the same time nami nijichukulie kiburudisho kingine hamu ikirudi kwa wife nirudi dah hii kali siwezi hata kwa mtutu

Hii kitu inaitwa sexual orgy...lazima uwe na akili iliyopitiliza ili kuishiriki. Roho lazima iwe na ganzi maana mambo yanayoendelea huko hayana utaratibu. Ni kurukiana tu kama watoto vichaa
 
kweli kabisa....ndio maana nakukubali Ticah....hasa hiyo ya matumizi kwenye penzi jipya na hiyo ya hakuna kukataa tendo la uumbaji....
chagua lunch wapi leo....huwezi kunikosha namna hii nikakuacha hivi hivi...


hata mie mamito. Preta sasa tuue ndege wawili kwa wakati mmoja, tuende sehemu

yenye akina papito wa kutosha na wenye tija maishani. haijalishi wapi, tutashare cost.
 
Last edited by a moderator:
kaaaah! yani wana mmu wote hawa nyie tu ndio mmeona topic ina mshiko? watu waoga jamani, wanataka turushe topic za kujadili yali ya hewa? teh teh teh.
 
tatizo wanakataa huku wanafanya.....
we leta mchanga mi naleta faya eksitingisha....


Preta wabongo tu wa ajabu sana. haya mambo yanafanyika, ila kila mmoja wa spouse

hujifariji kuwa hapana. sbb tu kukubali ukweli utaharibu utaribu mzima wa maisha waliyo nayo.

unakuta ndoa mamito ana mpango wa kando. papito ana mpango wa kando. nabaki nashangaa na

kujipongeza Ero kutoungia katika huo mtego. kwa nini wasiwe wazi kila mtu ashike

maisha yake or iwe open kabisa? naweza nikawa nimeiweka

in a vulgar way. but mwisho wa siku it boils down to the truth. lakini wacha waendelee

kujifariji, hope huongeza siku za kuishi.
 
Last edited by a moderator:
taratiiiiiiiibu maana nzima ya ndoa inazidi kupotea daily....
klorokwini akak loya ndo mambo gani haya mmefanya na erotica?


BADILI TABIA unaishi dunia gani? to date unaona kuwa ndoa bado haijapoteza maana ya kale?

kuna ndoa za same sex, kuna ndoa za mikataba, kuna ndoa ya ku bip/spouse wanakutana kwa mwaka mara moja.

kuna ndoa za kujioa. teh teh teh. naona nitafuata huo mfano, ila tu nitakuwa naji cheat mara moja moja.
 
Last edited by a moderator:
U-Cameroon ndivyo unavyoanza !!! Sasa hao watoto wa Ndoa Huria wanakuwa na Wazazi Huria pia ?



unaposema U-cameroon una maana gani? kama swala ni kuliwa tgo, wanandoa na

wapenzi wanaona fasheni siku hizi. wala haiitaji open marriage kuweza u cameroon.

Open marriage msingi wake ni kutokuwa na wivu tu!
 
Hakuna sababu ya kubishana Erotica...ukiamua kufanya hivyo lazima uwe na moyo wa chuma....kama umempenda mtu lazima utakuwa na wivu naye tu...unless umeokokea kwa nabii mmoja anakunywa kunywa hovyo anaitwa Tito



Inahitaji moyo wa chuma ama uliokata tamaa! Ndahani umewahi kutana na

mtu hana bahati katika Mapenzi? Hii inaweza mfanya a opt hii kuliko kukosa kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Erotica,

Nakupa zoezi moja tu, hapo ulipo fikiria tu kwamba yule mpenzi wako anayekufanya uende staili za kutesa unampigia simu na mara anapokea bi dada tena akiwa anatweta ikimaanisha kinachoendelea huko sio muafaka sana kwa upande wako. Je utajisikia namna gani ndani ya moyo wako?

Ntakupa mfano mmoja pia, moja ya watu walioko katika mtindo huu wa ndoa ni Will Smith na Jada Pinkett. Kama ni mfuatiliaji wa mambo utakuwa umesikia kwamba miezi kadhaa iliyopita walikuwa na mgogoro uliotokana na wivu baada ya mmoja wao kumuona mwenzie kama anachepuka vile. Pamoja na kwamba kimsingi walikubaliana tangu awali kuwa katika mtindo huo wa ndoa lakini "vigezo na masharti vinaonekana kuwa vigumu kwa wote wawili.

Mantiki yangu hapa ni kwamba inawezekana katika hatua za awali mkawa na makubaliano hayo, lakini kwa kuwa moyo hauko computerized, mnapoendelea kuishi pamoja mapenzi hujengeka, mapenzi yanapojengeka huumba wivu (Ni moja ya matendo wanasayansi wanayaita involuntary kama sijakosea) na pale inapofikia hapo theres no signed contract apply tena.

Mwisho nasema hivi, "if you feel like you dont wanna be with someone for long, never put any commitment"



M'jr hivi ambao wanaji commit huwa wanampango wa kutokua na huyo mtu milele?

hizi kamali ndio hizo ambazo wengine hatuziwezi. bora tu kufuata uhalisia na mantiki.

mantik na uhalisia ni kuwa no mata mnapendana vipi kuchokana ni lazima. mkijua hilo baaaasssi!
 
Erotica naomba ufafanuzi kidogo hapo kwenye bold, naona dalili ya uchoyo hiyo imeanza!

About the whole thing ya Open Marriage; inakuja kwa kasi siku hizi. Nilikuwa naongea na friend of mine, Mrusi kaoa Mmarekani (nafikiri kwa ajili ya makaratasi) yaani anawish sana wangekuwa na arrangement hiyo. Aisee mimi na miwivu yote hii, sidhani kama nitaweza labda nisipende.

Kwa wanaoweza ni bora kuliko kuumizana kwa cheating zisizoisha. Kwa sababu kama ni dhambi kwa kucheat bado unafanya dhambi. Ila kama kuna watoto, l am sure hamtakuwa mnawaangalia kwani kila mtu atakuwa anakimbia kutafuta new excitement somewhere! LOL


as always my intelligent sweet Kaunga. naona u see the point am making. mwaaaaah.

hapo unapotaka ufafanuzi, sikubali kukushare kwa my loya hata kama ni open. akinogewa?
 
Last edited by a moderator:
heheh Erotica hii ndio ile katiba mpya imeanza kutumika?

Halaf simu yako haipatikani. uko na nani leo? katiba hairuhusu kuzima sim


mbona hujanilike? kwamba katiba haijakamilika au ndio unataka kuvunja mkataba

kisa umemuona BADILI TABIA? simu yangu siku hizi kimeo. ninunulie nyengine.
 
Last edited by a moderator:
unaposema U-cameroon una maana gani? kama swala ni kuliwa tgo, wanandoa na

wapenzi wanaona fasheni siku hizi.
wala haiitaji open marriage kuweza u cameroon.

Open marriage msingi wake ni kutokuwa na wivu tu!

Unapaswa kusema baadhi ya wanandoa na wapenzi wanaona kuliwa tigo ni fashion, lakini sio wote kama unavyoonyesha kwa kusema "wanandoa na wapenzi wanaona ni fashion". Ni kweli "open marriage" msingi wake ni kutokuwa na wivu kwa mwenzako, lakini huo ni utamaduni wa "magharibi" kama ulivyo U-kameroon ambao pamoja na kwamba unasema ni fashion lakini, haupo kisheria; na ulianza taratibu kwa kificho baadaye ukakomaa na kuomba uhalalishwe. Kuna baadhi ya watu ukimwambia kuhusu mambo ya tigo kama ni mapenzi au ndoa itaanza kuyumba maana ataona huna maadili. Msingi mkuwa wa Open Marriage, kama ukifuatwa unaweza kuteketeza kizazi cha binadamu kwa magonjwa ya zinaa hususan HIV/AIDS. Kumbuka hata wanyama wana-practice open maariage, lakini wana wivu, ndio maana unaona dume la ngombe linampiga dume mwingine pembe wakati waking'ang'a kupanda jike.
 
Unapaswa kusema baadhi ya wanandoa na wapenzi wanaona kuliwa tigo ni fashion, lakini sio wote kama unavyoonyesha kwa kusema "wanandoa na wapenzi wanaona ni fashion". Ni kweli "open marriage" msingi wake ni kutokuwa na wivu kwa mwenzako, lakini huo ni utamaduni wa "magharibi" kama ulivyo U-kameroon ambao pamoja na kwamba unasema ni fashion lakini, haupo kisheria; na ulianza taratibu kwa kificho baadaye ukakomaa na kuomba uhalalishwe. Kuna baadhi ya watu ukimwambia kuhusu mambo ya tigo kama ni mapenzi au ndoa itaanza kuyumba maana ataona huna maadili. Msingi mkuwa wa Open Marriage, kama ukifuatwa unaweza kuteketeza kizazi cha binadamu kwa magonjwa ya zinaa hususan HIV/AIDS. Kumbuka hata wanyama wana-practice open maariage, lakini wana wivu, ndio maana unaona dume la ngombe linampiga dume mwingine pembe wakati waking'ang'a kupanda jike.

sawabo respect kwako papito. sijaona watu kuwa na wasi wasi na

magonjwa zaid tu wivu wivu haiwezekani na bla bla zengine. nakataa kutumia neno lako la baadhi.

labda nirekebishe kwa kusema walowengi, ila ni wachache i think ambao wametulia ndoani kwao.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom