profesa.n.
Member
- Apr 23, 2012
- 84
- 58
kwanini? wanafunzi wa elimu ya juu ,atupewi nafasi kubwa katika mchakato mzima wa katiba,badala yake wanapewa nafasi ya juu wa2 atawasio juasheria,katiba ya uswaiba zidhani kama tutafika,chadema big up,kwakutufungua mengi,tusio ya jua mfano mzuri ni swala la ufisadi unaofa nywa na wana ccm,ongera watu wa arusha mnaopigania haki zenu,kwa kuipinga ccm,vikali,THANKS PEOPLES OF A TOWN.