Mbinu ya ccm na serikali yake ni kuhakikisha kuwa viongozi wa CHADEMA wanakuwa busy na kesi zao za ubunge mahakamani ili wasiwe na muda kuchangia kwenye majadiliano ya uandikishwaji wa katiba mpya; na ndio maana mahakama zinajihusisha sana na kesi hizo sasa!! Lengo la mkweree ni kufanya uchaguzi wa 2015 na katiba hii hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.