Katiba mpya: Waislam watoa madai mazito Mwanza yawekwe kwenye katiba mpya

mimi sijui nani aliyetuloga waislam!
yaani hata siku moja hatufikiri mambo ya maendeleo ila chuki tuuuuu
hata mtu akiambiwa mwanae akajitoe mhanga anakubali harakaharaka ati thawabu.....wakati aliyemtuma wanawe wanakula bata!!
tuamke jamani na tubadili mitazamo yetu

Muislam utamjua kwa kauli yake huna uislam wowote kama umelala endelea kulala wewe na kuona keki wanakula wenzio unabaki kuangalia hatukuja duniani kushindikizana watu wanatakiwa kuishi na kufaidi rasilimali walizojaaliwa na muumba. mitego ya makufari huijui hadi siku utakapo hamia katika maisha mengine mbali ya hapa ulipo. unadanganyika na starehe ndogo inayopita na wangapi wameondoka
 
Quran inampa heshima kwa vile na wale waliotumwa na Allah kuja kufikisha ujumbe na kwa vile wayahudi wakamkataa na kumpaka matope Allah akaleta mtume mwingine ili aje amsafishe na uchafu ule aliopakwa Mwana wa Mariam. Nafikiri kama kweli watu tunataka kufuata njia sahihi ili tuweze kuwa salama mbele ya Allah tumepewa akili ebu tufanyeni utafiti. mijadala hii iwe chachu ya kila moja kujiuliza hivi mimi niko sahihi hivi baba yangu alieniingiza dini alikua sahihi? hivi ni vitu vingapi tumeviona wazee wetu wanachemka kwanini na hili la dini lisiwe hivyo. kama mlivyojitahidi kupata elimu zenu nzuri katika kuyajua mazingira yenu yanaowazunguuka basi vile vile mnatakiwa kufanya juhudi hizo hizo kumtafuta muumba wa kweli wala ushabiki hautatusaidia kitu. tunashukuru nchi za magharibi watu wanotumia common sense na sio ushabiki wnegi wamehamia upande wa pili na laiti kama sio jitihada zi kizayuni za kuukandamiza uislamu duniani kote nakuambia watu ukweli wangeujua lakini licha ya jitihada zao bado hawawezi kushindana na nguvu za Allah maana aliisha sema penye ukweli uongo ujitenga

Ndugu yangu @Ken.Rogers2012 Kama Quran inampa heshima Yesu sasa mbona hujamkosoa @Macos kwa kumtukana huyo anayeheshimiwa? huoni ni contradictions?
Kumbe unajua kuwa manabii walikataliwa??
Basi jua pia hata leo manabii kama mimi wanakataliwa. Mungu mpaka leo bado anazungumza na wanadamu na ni Mungu yule yule aliyewatuma manabii nyakati zile anasema na wanadamu hata leo kupitia wanadamu hao hao. Bahati mbaya Mungu unayemuamini labda yuko kimya tangu miaka 600 baada ya kristo. Na hapa ndipo shida ilipo....
Na ni furaha yangu kuu kwamba ni mmoja tu aliye hai. YESU KRISTO MASIHI WA MUNGU. Wengine woooote walitoweka na hili halina mjadala. Sasa basi mwamini aliye hai ili na wewe uwe hai! Hiyo nadhani ndio itakuwa akili nzuri kama unavyotaka tuitumie. Amini basi aliye hai.
Na hizi propaganda za kusema nchi za magharibi ndizo zimemleta Yesu wetu umezipata wapi kama sio kwa waarabu?? maana hata uislamu umetokea uarabuni sasa kwa sababu hiyo wataka kutuaminisha kwamba na nyinyi mmepotea kwa sababu bado na hii yenu ni foreign related religion?
Kwa habari za wazungu kuwa waislamu mie sioni tatizo. Kwa sababu Mungu halazimishi watu kumfuata bali anawapa uhuru wa kufanya wapendalo. Lakini uzoefu unaonyesha wazungu wengi walishakuwa waasi na sasa kila kitu wao umeza tu. Lakini je wawezaje kuamini nabii asiye hai na wakakataa kumuamini aliye hai?? hukumu itawasubiri wote ambao siri hii kubwa imefichwa kwao. Ole wao hao wanaokimbilia kwenu.
Asante sana.
 
wewe acha ujinga wako kumbuka kwamba wewe wenyewe dini yako haikutambui vilevile acha kukashifu waislamu kumbuka dini hii ni ya haki kwahiyo wewe unasema wakafie mbali wewe hujui kwamba sisi waislamu ni wa karim sana kuliko nyinyi wakristo kwanza mnatudhalilisha mitaani kwamba sisi ni wauwaji tulimuua nani kwenye familia yenu na kumbuka kwamba hiyo dini mnayoikataa siku ya mwisho ndo hiyo itawanusuru wengi waliyo ikubali kwanza wewe ni mkristo dini yenu ya ubabaishaji wachungaji na mapadri wanawadanganya ndugu zetu kwa kuhakikisha kasome biblia yako vizuri kafunue wakorinto (15:15-18) vilevile kasome yeremia(50:6) na kasome isaya (56:10) kumbuka mimi na wewe tumeletwa duniani kwa lengo moja la ibada lakini wewe unaleta mzaha sasa watu wanataka watimiziwe kero zao kwenye katiba wewe unasema wakafie mbali lakini nashangaa nyie wenyewe kuna mambo yanawakera kutokana na dini yenu hapohapo mnasema kwamba wake wengi ni vibaya lakini nyinyi mna vimada pembeni kwa wewe unayeoa na vidumu kwa wewe unayeolewa sasa maana yake nini kama si kuukubali uislamu kuwa na wake wa nne na vilevile mnampinga mungu na mtume wake kwamba nyie hamumtambui mtume muhammad(SAW) kumbuka huyo ndiye nabii wa umma huu na huyo nabii isa bin maryam(yesu) yeye aliletwa kwa watu wa israel siyo kwa watu wote wa duniani sasa mnapopinga mahakama ya kadhi na kujiunga oic mnakosea wakati nyie mmejiunga na jumuiya za kikristo duniani sasa huu ni upendeleo wa upande mmoja jaribu kuwa na upole siyo kashifa kwa waislamu vilevile wenye chama cha chadema ni chama cha wakristo na waislamu hatujawabagua wengi tupo kwenye chama hicho lakini hapohapo nyinyi mlikibagua chama cha cup kwa madai kwamba chama cha waislamu kitaleta udini nchini je na sisi tuwabague kuwa mtatuletea udini ? hatuendi hivyo walimwengu.
 
1. Serikali inagharimia mahakama zake za dola, sasa kwa nini Islam kama dini wasigharimie mahakama zao za kadhi? Kama wanaona ni muhimu kwa ajili yao, si waingie gharama kuziendesha? Kila kizuri kina gharama yake. Sasa wanataka serikali ndio iendeshe mahakama za kidini kwa kutumia fedha ya watu wa dini nyingine au hata wasio na dini? Hili ni suala la dini husika na wanatakiwa wabebe mzigo wao wenyewe kama dini. Vinginevyo waliache hadi watakapokuwa tayari.

2. Hili la kujiunga na OIC naona inabidi lisubiri hadi pale Katiba Mpya itakapobainisha wazi kwamba Tanzania sasa ni nchi ya Kiislam!

3. Kwani vyama vilivyopo ambavyo si vya kidini havitoshi au Watanzania wamekuwa wengi sana kiasi kwamba nafasi za uanachama kwenye vyama vya kawaida hazitoshi? La msingi anayetaka aanzishe chama chake, aweke sera zake za kidini kisha atafute wanachama, akipata-mwendo mdundo! Hili nalo inatakiwa lingojee kwanza Tanzania itangazwe rasmi kuwa ni ya kiislamu.

Asanteni wanaounga mkono na wasiounga mkono pia.
Mbona kuna mahakama ya biashara;kwani kila mtanzania ni mfanyabiashara?
 
Watu wachache ambao amzidi million 10 hamuwezi kuangaisha serikali kihasi hiki.

Mwisho mtataka hata mwezi wa ramadhani serikali iwagharamie.
Wasaidie waislam kuitaka serikali iingize kipengele cha dini kwenye sensa ili u prove idadi yako hiyo ya waislam.
 
sishangai saana kwa baadhi ya wakristo kuudhalilisha uislam, kumekuwa na madhehebu mengi sana ya dini ya kikristo ambayo mtu analala akiamka kaanzisha kanisa lake na hao ni wengi sana na kila siku unasikia wanaenda kutolewa mapepo sasa kama kila mkristo atakuwa na mapepo basi sioni ajabu wakikashifu uislam ni hayo MAPEPO YAO.
 
Wanao uhuru wa kutoa maoni, nashangaa wanao kereka...
Nao wakatoe tu, watasikilizwa.
Acheni matusi na kashfa kwenye imani za watu
 
tatizo la dini nyingine zinawasemaji wengi mno na vikundi ambavyo havina lazima kuwepo.Watu wanaona dini yao ni bora kuliko ya wengine huku ni hatari sana.waislam mjifunze nchi za kislam pure namna wanavyolipuana wao kwao wao.mara sun na washia hawapatani mara itikadi kali na za kati hawapatani.Njooni kwa Bwana wote mnaosumbuka na kulemewa na mawazo na taabu nawe utapata pumziko la milele na tena nira yake ni laini mno
 
Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake. Anayekerwa na maoni ya mtu mwingine, si mtanganyika.
 
Source gazeti la mzawa

Katika kuelekea kupata katiba mpya waumini wa dini ya kiislam jijini mwanza wamesema katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa mambo ambayo yanahusu dini ya kiislam mambo yafuatayo lazima yaanguzwe katika katiba ili kulinda na kutetea haki za waislam kwa ujumla;

1. Mahakama ya kadhi iwe kisheria na serikali igharamie shughuri zote.

2. Tanzania kujiunga na jumuiya ya kiislam ya OIC

3. Kuwapo kwa vyama vya kisiasa vya kidini

Propaganda za CDM hizo
 
your great thinker wa ukweli ukitaka kujua jambo ulisome kwa undani usikurupuke2 kwasababu umesikia swali ye ulikuwepo? numezisoma dini zote kwa ufasaha undani? hapo utatua ukweli upo wapi brothers and sisters 2cwe washabiki2 2livae jambo kwa undani wake jinsi lilivyo
 
Haya ni maoni , na maoni hujadiliwa, tofauti za maoni kuondolewa na kuishiya kwenye maelewano ambayo ndiyo katiba. Hakuna cha ajabu katika haya maoni. Kila mtanzania ana haki ya kushiriki katika kutunga katiba na wale wasioukuja na maoni hawana mchango.
 
Hoja hizo hazina mashiko kwani hayo ni masuala ya ndani, na jamii ya Waislam wanaozungumziwa hapa ni Watanzania si wageni kama ilivyokuwa kampuni ya kigeni ya Richmond iliyosajiliwa nje ya Tanzania, It's ridiculous!, kusajili hukumu baina ya raia wa nchi moja iliyotokana na Mahakama ilyopo ndani ya nchi hiyohiyo. Acha upuuzi.
Katiba ni lazima ilinde uhuru wa kuabudu. Mahakama ya kadhi ni hitaji la kisheria katika kutekeleza ibada ya Muislam anapoyaendea masuala ya ndoa, mirathi, na wakfu. Kwa sababu hiyo ni lazima Mahakama hiyo itambuliwe kikatiba ili uhuru huo wa kuabudu ulindwe kikamilifu moja kwa moja kupitia nguvu ya kisheria.
Kuna watu mnatia huruma!. Mahakama mnayotafuta itahukumu kwa kutumia sharia ambazo ndizo mnazozikubali katika dini yenu. Ina maana sharia haina nguvu mpaka isaidiwe na sheria za kikafiri mnazozikataa na hampendi kuzitumia?
 
Source gazeti la mzawa

Katika kuelekea kupata katiba mpya waumini wa dini ya kiislam jijini mwanza wamesema katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa mambo ambayo yanahusu dini ya kiislam mambo yafuatayo lazima yaanguzwe katika katiba ili kulinda na kutetea haki za waislam kwa ujumla;

1. Mahakama ya kadhi iwe kisheria na serikali igharamie shughuri zote.

2. Tanzania kujiunga na jumuiya ya kiislam ya OIC

3. Kuwapo kwa vyama vya kisiasa vya kidini
Kwa akili na mtazamo huu itafikia wakati kweli UAMSHO watadai Mwezi wa ramadhani serikali igharamie futari nchi nzima,
kama watu wanashindwa kujua mahitaji ya kidini yanawahusu wenye dini husika,hivi dini nyingine hazina taratibu na sheria za ndoa? mbona hao hawadai katiba ama sheria za nchi zi itambue? mbona mwapenda tumia majasho ya wasio wahusu?
ushauri : Anzisheni mahakama yenu kwa kanuni na gharama zenu achani majasho yetu (kodi za wote).
KUHUSU OIC-Taasisi/jumuiya yenu ya kiislam na iungane/ishirikiane na taasisi yeyote ya kiislam duniani dini nyingine haiwahusu wala serikali haiwahusu,
Mbona katoliki na dini/madhehebu mengine wana jumuiya zao wanashirikiana dunia nzima na serikali haihusiki?, Nyie kina nani mpaka mlete hayo myaletayo kamama ni urafiki na roma/vatcani mbona tuna urafiki na nchi za ki islam pia?
Kama hamuwezi ku organize waombeni WAROMA/rc wawasaidie kuweka msingi alafu mtaendelea kivyenu (maana mmeshindwa na mwataka bebesha zigo serikali ya wote).
USHAURI :jiungeni mpeane tende khalua nk(sisi kama nchi haituhusu)
VYAMA VYA SIASA VYA KIDINI: Maana yake nini? kwa mtu mwenye akili timamu anaejua kabisa kuwa msimamo wa serikali yetu ni kuwa kila mtu ana dini yake na ana uhuru nayo(KUABUDU ATAKAVYO) ila serikali kwa kuwa ni ya wote basi itabaki kuwa neutural ground
USHAURI: kama unataka nchi ya UDINI hameni Nendeni huko kwenye hizo nchi za udini mkajiunge na makundi mtakayo.(anaetaka ku ua kwa jina la mungu ili aende mbinguni haraka ruksa bt SIO HAPA TZ)
 
Wanataka kuzima nuruu ya uislam na alieitermsha ni aliyewumba basi stareheni kidogo kisha adhabu mtaiona
 
Back
Top Bottom