Ken.Rogers2012
Member
- Jul 16, 2012
- 6
- 1
mimi sijui nani aliyetuloga waislam!
yaani hata siku moja hatufikiri mambo ya maendeleo ila chuki tuuuuu
hata mtu akiambiwa mwanae akajitoe mhanga anakubali harakaharaka ati thawabu.....wakati aliyemtuma wanawe wanakula bata!!
tuamke jamani na tubadili mitazamo yetu
Muislam utamjua kwa kauli yake huna uislam wowote kama umelala endelea kulala wewe na kuona keki wanakula wenzio unabaki kuangalia hatukuja duniani kushindikizana watu wanatakiwa kuishi na kufaidi rasilimali walizojaaliwa na muumba. mitego ya makufari huijui hadi siku utakapo hamia katika maisha mengine mbali ya hapa ulipo. unadanganyika na starehe ndogo inayopita na wangapi wameondoka