comson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 288
- 41
Dah, aisee huyu Nyerere alifaa kuwa candindate wa PhD ya heshima hata kama amekufa! Alikuwa anaona mbali sana. Yaani wale aliowakataa ndio wengi wao wanatuharibia nchi!
huyu mkono ni kama bidhaa ya kichina...... Ukimtilia maanani utapata dhambi na kumtukana bure acha debe tupu litike...