mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,037
- 250
jamani wadau, nimetafakari vya kutosha kufuatia wimbi kubwa la mageuzi linalovuma hapa nchini ambapo kila sehemu wana kiu kubwa ya mabadiliko, yaani inapotokea sehemu fulani labda kuna uchaguzi mdogo, basi kila mtu anatamani huo uchaguzi ungefanyika ktk jimbo lake ili apate fursa ya kuonyesha hasira zake kwa hiki kikundi kinachojiita ccm, sasa imedhihirika kuwa ccm imekuwa ikitumia udhaifu wa kikatiba kama kuwa na mwenyekiti wa tume anaeteuliwa na mwenyetiti wa ccm, na pia kwa kutumia orodha ya zamani ya