Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Kuna somo kubwa kwa watanzania kwa muswada uliopelekwa bungeni kuhusu hoja ya kuandika katiba mpya!!!!!
Kwanza Kongamano la UDASA siku ya Jumamosi tarehe 2, Machi 2011, liliacha waTz midomo wazi, wakishindwa kuelewa dhamiri ya yale yaliyoandikwa ndani ya muswada huo!!!!!!!. Ilionekana kutoingia akilini mwa walioelewa mapema kwa serikali yenye nia njema na mustakabali wa uhai na heshima ya wananchi na nchi kuweza kuandika muswada kama ule!!!!!!!!.Ni dharau kwa waTz;
Kwa sababu gani? Kwa mTz wa kawaida maswali mawili yanabaki bila majibu:-
1: Kimsingi wananchi ndiyo wadau na wamiliki wa katiba kama mwongozo wa jinsi wanavyotaka wajitawale-yaani waajiri wa vyama vyote vya siasa nchini; chama tawala na serikali yake ni waajiriwa waliopata ajira baada ya mchujo kwa njia ya kura huru; wakati vyama vya upinzani vikiwa vimebakia katika orodha ya kusubiri-waiting list;
2: Kwa mswada uliopelekwa bungeni sisiemu na serikali yake ambao ni waajiriwa ndiyo wamepora nafasi ya wananchi kwa kuchukua na kusimamia mchakato mzima wa maandalizi ya katiba-mwongozo wa jinsi ya kutawala nchi !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa ambao ni wadadisi wa mambo ya siasa na uchungu na nchi hii, wanaona kabisa kwamba bila shaka kuna jambo??????; Iweje itoe tafsiri kwamba CCM na serikali yake wanaelekea kuelewa fika agenda ya siri iliyomo ndani ya muswada huo; ambao kwa uwazi unaonekana kabisa hauna dhamiri njema na utashi wa kisiasa kwa tafsiri ya mTz mwenye akili timamu, zaidi ya provocation of maandamano ili watumie nguvu ya dola kuzima maasi??????;
Kwa maoni ya kawaida CCM na serikali yake wamelenga kwamba muswada huo usipopita, basi watakuwa wamepata sababu ya kuendeleza delaying tactics hata mpaka mwaka 2020!!!!!!!!!!!!;
Lakini ukweli ni kwamba CCM na serikali yake wanajenga mazingira ya machafuko nchini ili hatimaye rais wao atangaze hali ya hatari, na kuanza utawala wa kiimla na kidikteta!!!!!!;
Kwa kuwa CCM na serikali yake hutawala kiujanja ujanja, si ajabu mradi wa Loliondo ulilenaga kuwapumbaza waTz -wakidhani kwamba hili ni taifa la mazezeta kwa vikombe vya babu wa Loliondo ili watawalike kirahisi;
Hata namna mchakato wa kiini macho cha kile kinachoitwa kupata maoni Dar na Dodoma kwa mtu ye yote mwenye akili timamu anaona kabisa kwamba ni danganya toto!!!!!!
CCM wamedhamiria kupeleka nchi puta katika hili, na kama atatokea mtu ama chama kupinga kwa njia ya maandamano, angalia yaliyotokea Dar na Dodoma;
Jamani kwa yale yaliyotokea kwenye kongamano la UDASA na leo kuthibitishwa na yale yaliyotokea Dar na Dododma waTz wamechoka kutawaliwa na CCM na serkali yake kama vile wananchi wa nchi za kiarabu walivyochoka kutawaliwa na watawala wale wale kwa miaka nenda rudi, na sasa wameamua kwa dhati kuwa ni aluta continua mpaka kieleweke tu ndiyo solution!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa sababu gani? Kwa mTz wa kawaida maswali mawili yanabaki bila majibu:-
1: Kimsingi wananchi ndiyo wadau na wamiliki wa katiba kama mwongozo wa jinsi wanavyotaka wajitawale-yaani waajiri wa vyama vyote vya siasa nchini; chama tawala na serikali yake ni waajiriwa waliopata ajira baada ya mchujo kwa njia ya kura huru; wakati vyama vya upinzani vikiwa vimebakia katika orodha ya kusubiri-waiting list;
2: Kwa mswada uliopelekwa bungeni sisiemu na serikali yake ambao ni waajiriwa ndiyo wamepora nafasi ya wananchi kwa kuchukua na kusimamia mchakato mzima wa maandalizi ya katiba-mwongozo wa jinsi ya kutawala nchi !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa ambao ni wadadisi wa mambo ya siasa na uchungu na nchi hii, wanaona kabisa kwamba bila shaka kuna jambo??????; Iweje itoe tafsiri kwamba CCM na serikali yake wanaelekea kuelewa fika agenda ya siri iliyomo ndani ya muswada huo; ambao kwa uwazi unaonekana kabisa hauna dhamiri njema na utashi wa kisiasa kwa tafsiri ya mTz mwenye akili timamu, zaidi ya provocation of maandamano ili watumie nguvu ya dola kuzima maasi??????;
Kwa maoni ya kawaida CCM na serikali yake wamelenga kwamba muswada huo usipopita, basi watakuwa wamepata sababu ya kuendeleza delaying tactics hata mpaka mwaka 2020!!!!!!!!!!!!;
Lakini ukweli ni kwamba CCM na serikali yake wanajenga mazingira ya machafuko nchini ili hatimaye rais wao atangaze hali ya hatari, na kuanza utawala wa kiimla na kidikteta!!!!!!;
Kwa kuwa CCM na serikali yake hutawala kiujanja ujanja, si ajabu mradi wa Loliondo ulilenaga kuwapumbaza waTz -wakidhani kwamba hili ni taifa la mazezeta kwa vikombe vya babu wa Loliondo ili watawalike kirahisi;
Hata namna mchakato wa kiini macho cha kile kinachoitwa kupata maoni Dar na Dodoma kwa mtu ye yote mwenye akili timamu anaona kabisa kwamba ni danganya toto!!!!!!
CCM wamedhamiria kupeleka nchi puta katika hili, na kama atatokea mtu ama chama kupinga kwa njia ya maandamano, angalia yaliyotokea Dar na Dodoma;
Jamani kwa yale yaliyotokea kwenye kongamano la UDASA na leo kuthibitishwa na yale yaliyotokea Dar na Dododma waTz wamechoka kutawaliwa na CCM na serkali yake kama vile wananchi wa nchi za kiarabu walivyochoka kutawaliwa na watawala wale wale kwa miaka nenda rudi, na sasa wameamua kwa dhati kuwa ni aluta continua mpaka kieleweke tu ndiyo solution!!!!!!!!!!!!!!!