Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Wakati Makamu wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif akiwa Pemba alitamka wazi kuwa na maoni ya kuuvunja muungano wa Tanzania kwa kutaka kiti cha Zanzibar Umoja wa Mataifa kirejeshwe, Rai wa Zanzibar hajatamka lo lote kukubaliana au kutokubaliana na maoni ya Makamu wake. Pamoja na kuwa na sera tofauti, lakini tungetazamia wakashauriana kuwa na kauli moja yenye kuwaunganisha Wazanzibari wote.