Ndugu zangu hii sasa inasikitisha sana.
Wakati wa nyerere waziri yoyote akiboronga anastaafishwa kwa manufaa ya umma, leo waziri akiborongo wizara hii anahamishiwa wizara nyingine.
Kwa nini kubebana huku tusikumalize kwa kuweka mikakati kwenye katiba mpya kwamba Raisi au waziri akifanya makosa yoyote akiwa madarakani ashugulikiwe na vyombo husika kama watu wengine siyo wanapelekwa watu chambo tu kama kina Mramba na Yona ili kuwapa wananchi matumaini kumbe hamna lolote ni changa la macho tu.
Hili mnalionaje wadau wa kurekebisha katiba maana hii siyo katiba mpya ni maboresho ya katiba ya zamani.
Wakati wa nyerere waziri yoyote akiboronga anastaafishwa kwa manufaa ya umma, leo waziri akiborongo wizara hii anahamishiwa wizara nyingine.
Kwa nini kubebana huku tusikumalize kwa kuweka mikakati kwenye katiba mpya kwamba Raisi au waziri akifanya makosa yoyote akiwa madarakani ashugulikiwe na vyombo husika kama watu wengine siyo wanapelekwa watu chambo tu kama kina Mramba na Yona ili kuwapa wananchi matumaini kumbe hamna lolote ni changa la macho tu.
Hili mnalionaje wadau wa kurekebisha katiba maana hii siyo katiba mpya ni maboresho ya katiba ya zamani.