Katiba mpya ibainishe hilii!

mgen

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
22,640
8,412
Great thinkers! Nawaomba sana mzame na tulitafakari kwa makini na kama litakubalika liwekwe kwenye Katiba Mpiya. Ni hili hapa, "KATIBA ITAMKE KWAMBA NCHI HII NI KWA WANANCHI HALISI TU." NA HAKI ZAO ZIBAINISHWE KIKATIBA. Naomba mnielewe kwamba sina maana kwamba watu wengine watengwe la hasha! bali haki zao ziwe na mipaka Kikatiba! kama ilivyo katiba ya India imebainisha wazi kwamba: "India is for pure indians." Nawasilisha.
 
sounds good, wasiwasi wangu ni kuwa by then hakutakuwa na lolote la kujivunia kama MTz
 
<font size="3"><span style="font-family: times new roman">sounds good, wasiwasi wangu ni kuwa by then hakutakuwa na lolote la kujivunia kama MTz</span></font>
<br />
<br />
Mkuu, Hakika hatuna cha kujivunia kama wananchi! Hebu angalia kuanzia uwanja wa ndege hadi kamata mwananchi yupi asili anamiliki kiwanja? sasa utajivunia nini kwenye nchi uliopewa na MMunguj? Ili ikutunze na baadaye ukifa ikuhifadhi.
 
ukifikiria jinsi wa asia wanayoyafanya hapa Tz, utaona umuhimu wa mtazania halisi na haki zake kubainishwa katika katiba mpya.
 
great thinkers! Nawaomba sana mzame na tulitafakari kwa makini na kama litakubalika liwekwe kwenye katiba mpiya. Ni hili hapa, &quot;katiba itamke kwamba nchi hii ni kwa wananchi halisi tu.&quot; na haki zao zibainishwe kikatiba. Naomba mnielewe kwamba sina maana kwamba watu wengine watengwe la hasha! Bali haki zao ziwe na mipaka kikatiba! Kama ilivyo katiba ya india imebainisha wazi kwamba: &quot;india is for pure indians.&quot; nawasilisha.
sawa lakini mtanzania halisi ni yupi?ni yule aliyezaliwa tanzania au?au wewe unazungumzia rangi?kwa sababu wako watanzania wengi kwa maana ya kuzaliwa tanzania na wana haki zote za uraia lakini sio weusi.babu zangu wote,wa upande wa baba na mama hawakuwa watanzania kwa asili.je mimi ni mtanzania halisi?
 
My understanding is that this is a transition government mandated to carry forward far reaching democratic and consitutional changes. We need a new consitution urgently, The judicially, the police, civil services all needs serious consitutional and institutional changes so that they can serve Tanznian. LAND REFORMS ARE ALSO A MUST JUST TO MENTION AFEW.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom