charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Sidhani kama ni sawa kumpa mzigo wa kubadilisha katiba mhe. RAIS KIKWETE. Kazi hii hakutumwa na chama chake (si ILANI YA CCM). Tumuache afanye kazi liyopewa kwa miaka 5 hii, kisha agenda ya katiba mpya itanadiwa 2015 kwenye ilani mpya. Mhe. KIKWETE kuwa makini na movement hii inayojifanya yahitaji katiba mpya. Wewe umechukua ahadi kubwa nyingi za maendeleo ya wananchi, KATIBA haimo.