Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Hivi hoja walizonazo CDM kukutana na JK ndio hoja za hivyo vyama vingine CCM wanaoshinikiza wahusishwe? hii michezo ya Kitoto CCM wanayofanya ishapitwa na wakati kama CCM wanataka na hivyo vyama vingine vishiriki pamoja waombe miadi na JK na sio kukurupuka eti kisa CDM..CCM wasipotumia busara huu mchakato katiba mpya itakuwa vurugu tupu..
Yaani it is ridiculous and disgusting, yaani eti CCM ndiyo imekuwa msemajiwa vyama pinzani. Maana hao wengine hawajaona umuhimu wa kuonana na JK, lakini CCM inawaombea kweli bongo tambarareeeeeeeeee!!!!!!!