Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
- Thread starter
- #21
mnataka kutuchanganya bana..hebu tulieni kwanza tupigwe elimu ya uraia...kwanza sasa hivi tunakaa kama kamati kujadili matokeo ya mwanaasha sasa msitupotezee konsentresheni
Mimi siamini kuwa elimu ya uraia itatuambia ni nini tunataka, hilo tunajua kwa hiyo tuseme. Naelewa kwa sehemu tunapotoshwa huenda kwa makusudi ili tuamini kuwa iinabidi tupewe elimu ya uraia ndiyo tuweze kusema tunataka nini.