Katiba Mpya Au Njia ya kupata Katiba Mpya

Tinno

Member
Nov 1, 2010
10
0
Naomba msaada jamani.Nina changanyikiwa kuhusu utata uliopo sasa kuhusu Katiba.Kubwa lilopo mbele yetu ni Bili ya utaratibu wa kubadili katiba na sio kuandika katiba.Kinachonikera ni kuwa wadau wengi wanapinga bili hiyo ya utaratibu lakini hoja zao zote ni zile za kupinga katiba.Penye ukweli uongo hujitenga.Hebu tuacha bili ya utaratibu ipite halafu tuwe kama ngamia kwenye katiba yaani unaanza kichwa na mwisho mwili mzima
 
Hawa jamaa wengine hawaelewi hata kinachofanyika sasa
sijui watatuelekeza nini hapa?
 
Zote mbili lazima ziwe za uhakika, sio ubabaishaji. Njia ikiwa mbovu tegemea Katiba mbovu.
 
Naomba msaada jamani.Nina changanyikiwa kuhusu utata uliopo sasa kuhusu Katiba.Kubwa lilopo mbele yetu ni Bili ya utaratibu wa kubadili katiba na sio kuandika katiba.Kinachonikera ni kuwa wadau wengi wanapinga bili hiyo ya utaratibu lakini hoja zao zote ni zile za kupinga katiba.Penye ukweli uongo hujitenga.Hebu tuacha bili ya utaratibu ipite halafu tuwe kama ngamia kwenye katiba yaani unaanza kichwa na mwisho mwili mzima
umeshalishwa sumu na magamba wewe, soma vizuri hiyo bili ndo utaelewa vizuri!
 
Naomba msaada jamani.Nina changanyikiwa kuhusu utata uliopo sasa kuhusu Katiba.Kubwa lilopo mbele yetu ni Bili ya utaratibu wa kubadili katiba na sio kuandika katiba.Kinachonikera ni kuwa wadau wengi wanapinga bili hiyo ya utaratibu lakini hoja zao zote ni zile za kupinga katiba.Penye ukweli uongo hujitenga.Hebu tuacha bili ya utaratibu ipite halafu tuwe kama ngamia kwenye katiba yaani unaanza kichwa na mwisho mwili mzima
Haya ndo matatizo ya wengi wenu kutofatilia haya mambo halafu unakurupuka kuandika vitu visivyojulikana ebu ungerifaa mahojiano ya lisu,kombani na star tv leo asubuhi kama huelewi zaidi nikupe na.ya lisu umgongee ili akupe darasa.
 
Fortunately I have read it all and I know all the shortcomings.What we are fighting is a constitution which can create a playing field which will make it possible to remove ccm but ccm parliament is burying bombs in the very field which we want to pass/play.This is very possible because they have the paliamentary muscle-majority.To defeat them we need to change techniques;in JKT we called them 'Ujanja wa porini' that is work from within.To work from within,is to get the real constitutional changes kickstart.This is the point when people should fight.This has worked in China and Russia and currently Zanzibar where CUF is in the govt but I assure you that is the end of CCM in Zanzibar.





ndugu wewe ndiyo umefika msituni halafu unawaona walio nje ya msitu ndiyo wamepotea,tafuta hiyo 'bill' uisome VIZURI utagundua hatutafikia kupata katiba yenye kusimamia maslahi ya wananchi 'instead' tutaletewa katiba itokanayo na CCM as you can't get to the right place without passing the right way
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom