Binafc napenda sana supu ya samaki tena napenda kuagza kichwa maana bila ya kula jicho cjajickia kama nimekula.Lakini pia kma hakuna napenda supu ya bata huniburudisha kwa radha yake kama hutotokwa jasho bac unamatatizo kiafya.Haiishi hamu unatamani uendeleeeeee wewe unapenda ipi?
Mi napenda supu ya utumboBinafsi napenda sana supu ya samaki tena napenda kuagiza kichwa maana bila ya kula jicho sijajickia kama nimekula. Lakini pia kama hakuna napenda supu ya bata huniburudisha kwa radha yake kama hutotokwa jasho basi una matatizo kiafya. Haiishi hamu unatamani uendeleeeeee.
Wewe unapenda ipi?
Supu ya kolofindo je umeshawahi kufyonza kile kichwa chakeBinafsi napenda sana supu ya samaki tena napenda kuagiza kichwa maana bila ya kula jicho sijajickia kama nimekula. Lakini pia kama hakuna napenda supu ya bata huniburudisha kwa radha yake kama hutotokwa jasho basi una matatizo kiafya. Haiishi hamu unatamani uendeleeeeee.
Wewe unapenda ipi?
Unapenda kufukua makaburiLeo kwa mara ya kwanza nimekula supu ya ulimi. Asante Allah
Tuko hatua 20 mbele ye katurudisha from beginningHahaha hatari sana huyu mwamba