SureDenzel, Morgan wamwisho Samuel.
Morgan Freeman ,inabid kwanza umpe heshima yake, huyu mzee kwanza ana golden voice hata asipoonekana kwa video utamsikia tu, huyu mzee ni narrator mzuri, ni mchaguzi mzuri wa maneno ya kuongea, kifupi hajawahi kuongea sentensi kwenye movie zake usipate quotation, Morgan freeman ana heshima Hollywood kuliko muafrica yeyote, usirudie tena kumfananisha na hao watunimejiuliza kati ya hawa waigizaji weusi nani ni mkali zaidi sijapata jibu. we unaona nani mkali zaidi ya wenzake?
nimejiuliza kati ya hawa waigizaji weusi nani ni mkali zaidi sijapata jibu. we unaona nani mkali zaidi ya wenzake?
sitanii mkuu. Deenzel ana Oscar 2, Morgan 1 na Samuel 0. ila kwenye total box office dunia nzima hakuna kama Samuel. nikicheki performance ya Jackson kwenye movie zake huwa nastaajabu kipaji. nikija kumcheki Denzel na Morgan naona nao wamoto.
umecheki the hateful eight (2015) ya Samuel?
Samuel anamisemo hadi raha kumsikiliza. umemcheki kwenye Pulp fiction na Jack Brown? pia kuna unthinkable ambayo kacheza kikatili sana. jamaa kasomea uigizaji chuo kikuu.Kwa vizazi vya sasa wengu zaidi watampenda Denzel kasababu ya nafasi zake za kibabe na malavidavi pia
In USA Morgan Freeman ndio actor mweusi anaye heshimika na kukubalika zaidi kuliko wote
Hii haimaanishi kwambwa Samweli sio mzuri kihivyo...Nope
Kiufupi kila mmoja anafit vizuri kwenye nafasi yake
Mara nyingi Morgan anakua sio leading actor kwakuwa nafasi zake nyingi ni za kuwa mtu wa kutoa maamuzi akiwa kama kiongozi fulani na busara zake
Samweli Jackson yeye bana ni mzee wa misemo sana, japo umri umeenda anafit sana nafasi za kigangstar na ubabe fulani hivi wa mikwara
Denzel bana kizazi cha sasa kinamuelewa zaidi na haswa akiwa leading actor lazima umkubali
Freeman ameakti movie nyingi sana mpaka zingine za kijinga sana, yaani si za level yake. Pia muonekano wake Mara nyingi ni uleule. Huwa nahisi simpendi japo mkali, ila babalao in Diesel, package ya movie tu anayolipwa inajielezanimejiuliza kati ya hawa waigizaji weusi nani ni mkali zaidi sijapata jibu. we unaona nani mkali zaidi ya wenzake?
Denzel, Morgan wamwisho Samuel.
mi naona mwenye movie nyingi hadi za uzembe ni Samuel. ana box office bombs nyingi sana.Freeman ameakti movie nyingi sana mpaka zingine za kijinga sana, yaani si za level yake. Pia muonekano wake Mara nyingi ni uleule. Huwa nahisi simpendi japo mkali, ila babalao in Diesel, package ya movie tu anayolipwa inajieleza
In kweli, ila samwel hawafikii hawa wawili, ndio sababu ya Mimi kuwazungumzia hawa wawili tu.mi naona mwenye movie nyingi hadi za uzembe ni Samuel. ana box office bombs nyingi sana.