Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Mkapa kwangu mimi was a leader in terms of vision. Lakini ilikuwaje akaamua kuwanufaisha watu wachache kwa ubinafsi? Ilikuwaje akaruhusu wezi wa mali ya uma kuonekana ndo wafanyabiashara na matajiri wakubwa TZ? Ilikuwaje akaruhusu taasisi za serikali kuwekwa mateka na wafanyabiashara uchwara wa rada na vifaa vya kijeshi...Nina macho ya kutazama..lakini tatizo nimeamua wapi nimtazame...yule bwana mmmh sidhani. Kikwete ntamuangalia vizuri baada ya muda wake kuisha na kukaa kando.Siwezi jua bwana, bado anao muda