kati ya me na ke, nani huanzisha mchezo?

Plato

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
420
94
nimekuwa nauliza baadhi ya maswala hapa nahitaji kujua.sasa ninapata shida kujua katika ndoa ni nani kati ya mme na mke anapaswa kuanzisha mchezo.kwani mara zote nikianzisha tunacheza hadi mechi inaisha kwa furaha.ila siku nisipoanzisha,mwenzagu hukaa kimya.utata ni kuwa siku nyingine nakuwa nataka ila sijui kama yeye anataka pia,nasubiri aanzishe,wapi! nisipoanzisha hata wiki inapita.ila nikianzisha hata kila siku tunafanya vizuri.sasa nachanganyikiwa.mimi mhaya na mwenzangu mchaga kama hilo laweza kuwasaidia wachangiaji.asante
 
nimekuwa nauliza baadhi ya maswala hapa nahitaji kujua.sasa ninapata shida kujua katika ndoa ni nani kati ya mme na mke anapaswa kuanzisha mchezo.kwani mara zote nikianzisha tunacheza hadi mechi inaisha kwa furaha.ila siku nisipoanzisha,mwenzagu hukaa kimya.utata ni kuwa siku nyingine nakuwa nataka ila sijui kama yeye anataka pia,nasubiri aanzishe,wapi! nisipoanzisha hata wiki inapita.ila nikianzisha hata kila siku tunafanya vizuri.sasa nachanganyikiwa.mimi mhaya na mwenzangu mchaga kama hilo laweza kuwasaidia wachangiaji.asante

Mwanaume yeyote huona raha sana endapo mwanamke wake ataomba penzi. Sio lazima kila siku eti mimi ndio nianze ku-initiate majamboz. Hebu mfahamishe mwenzio:coffee:
 
Anyetaka "KUINGIA" kwa mwenzie ndiye anayeanza. Sijui kama kinyume chake kinawezekana yaani kutaka "KUINGIWA" na mwenzio.
 
Kwa asili tendo la ndoa per se sio priority ya mwanamke katika mahusiano......and so ukiona yeye ndio anaanzisha mara kwa mara kuliko mwanaume....inabidi ujiulize mara mbili mbili!
 
Sijui bana, nisije danganya bureee ila sisi ni anyone can initiate ze game
 
ooohh my dear friend
huu ndo mchezo tu mmoja duniani
ambao hauna referee ..
mpira uko katikati..
anayetaka akachukue..
na mwenzako akianza kukurushia pasi na we mrudishie kwani hii tag team..

unajua utamu wa mapenzi ni kuongelea..
mmhh mkumbatie bibie, mbusu, mwangalie kwa jicho
la mahaba halafu mwambie au mweleze kilicho moyoni..

maana hapo juu umesema ni mkeo..
sasa kama mmeoana hamna haja ya kumficha..
maana weye na ye ni kitu kimoja sasa..
 
nimekuwa nauliza baadhi ya maswala hapa nahitaji kujua.sasa ninapata shida kujua katika ndoa ni nani kati ya mme na mke anapaswa kuanzisha mchezo.kwani mara zote nikianzisha tunacheza hadi mechi inaisha kwa furaha.ila siku nisipoanzisha,mwenzagu hukaa kimya.utata ni kuwa siku nyingine nakuwa nataka ila sijui kama yeye anataka pia,nasubiri aanzishe,wapi! nisipoanzisha hata wiki inapita.ila nikianzisha hata kila siku tunafanya vizuri.sasa nachanganyikiwa.mimi mhaya na mwenzangu mchaga kama hilo laweza kuwasaidia wachangiaji.asante

Uzuri ni kwamba umeshamjua mwenzio kwamba hata siku moja hataanzisha game hata week au zaidi ikikatika, lakini kila unapoomba mechi za kirafiki basi mwenzio hushiriki katika mechi hizo hadi unasuuzika roho yako. Kwa hiyo wewe kila unaposikia kucheza mechi basi usisite na kumsubiri mwenzio aombe game WE ANZISHA TU! maana unajua fika kwamba participation yake itakuwa 110%

Right Thru Me (Clean Version) - Nicki Minaj | Music Video | VEVO
 
Uzuri ni kwamba umeshamjua mwenzio kwamba hata siku moja hataanzisha game hata week au zaidi ikikatika, lakini kila unapoomba mechi za kirafiki basi mwenzio hushiriki katika mechi hizo hadi unasuuzika roho yako. Kwa hiyo wewe kila unaposikia kucheza mechi basi usisite na kumsubiri mwenzio aombe game WE ANZISHA TU! maana unajua fika kwamba participation yake itakuwa 110%

Right Thru Me (Clean Version) - Nicki Minaj | Music Video | VEVO

hapo umenena mkuuu
lakini we waonaje kama mie nikianzisha siku moja???
hahah lol
 
nimekuwa nauliza baadhi ya maswala hapa nahitaji kujua.sasa ninapata shida kujua katika ndoa ni nani kati ya mme na mke anapaswa kuanzisha mchezo.kwani mara zote nikianzisha tunacheza hadi mechi inaisha kwa furaha.ila siku nisipoanzisha,mwenzagu hukaa kimya.utata ni kuwa siku nyingine nakuwa nataka ila sijui kama yeye anataka pia,nasubiri aanzishe,wapi! nisipoanzisha hata wiki inapita.ila nikianzisha hata kila siku tunafanya vizuri.sasa nachanganyikiwa.mimi mhaya na mwenzangu mchaga kama hilo laweza kuwasaidia wachangiaji.asante
soma history ya haya makabila
 
Kwa asili tendo la ndoa per se sio priority ya mwanamke katika mahusiano......and so ukiona yeye ndio anaanzisha mara kwa mara kuliko mwanaume....inabidi ujiulize mara mbili mbili!
kwani akianzisha sana deme inaashiria nini?
 
napingana nawe mkuu. hata yeye huwa anaanzisha ila hujajua namna anavyoanzisha! hii inawamisslead wanaume wengi sana wakafikia kudhani kuwa bila wao mapenzi hakuna au tendo la ndoa halifanyiki. hii ni fallacy, wanawake wana namana na mbinu nyingi tu kuanzisha sasa kama mwanaume tena uliye kwenye ndoa yakupasa umsome na kumjua mwenzio.

mfano unapopanda tu kitandani, yeye anageuka au anasogea kando upande wake. na wewe tayari ukishaona maeneo yanayokutia hamasa tayari unataka kugusa na then mchezo unaanza. hapo usijitape kwamba umeanzisha wewe,aliyeanzisha ni mke na hata kulala sehemu yako alilala makusudi ili ukifika akuite kwa kujibinua! au yaweza kuwa tangu mapema anakutazama tazama kukuchokoza ili kukutia hamasa na ikifika jioni anajifanya kuwahi kulala, na wewe kwa "hasiira" za tangu mchana unashindwa kuvumilia hadi asubuhi, ukimgusa tu yuko prepared! nawe hujiulizi nani kamuandaa, alijiandaa mwenyewe ndio akaanzisha. this is too psychological. jitahidini kuwasoma wake zenu na mtagundua wanaanzisha mara nyingi sana huo mchezo.

mie nina uwezo wa kutamka hata kwa maneno nataka nini manake ni saikolojia ndio huwa inataka na ukishajiandaa kisaikolojia unaweza tamka au kufanya lolote. na tena wanawake wengi tu huwatamkia wenzi wao
 
napingana nawe mkuu. hata yeye huwa anaanzisha ila hujajua namna anavyoanzisha! hii inawamisslead wanaume wengi sana wakafikia kudhani kuwa bila wao mapenzi hakuna au tendo la ndoa halifanyiki. hii ni fallacy, wanawake wana namana na mbinu nyingi tu kuanzisha sasa kama mwanaume tena uliye kwenye ndoa yakupasa umsome na kumjua mwenzio.

mfano unapopanda tu kitandani, yeye anageuka au anasogea kando upande wake. na wewe tayari ukishaona maeneo yanayokutia hamasa tayari unataka kugusa na then mchezo unaanza. hapo usijitape kwamba umeanzisha wewe,aliyeanzisha ni mke na hata kulala sehemu yako alilala makusudi ili ukifika akuite kwa kujibinua! au yaweza kuwa tangu mapema anakutazama tazama kukuchokoza ili kukutia hamasa na ikifika jioni anajifanya kuwahi kulala, na wewe kwa "hasiira" za tangu mchana unashindwa kuvumilia hadi asubuhi, ukimgusa tu yuko prepared! nawe hujiulizi nani kamuandaa, alijiandaa mwenyewe ndio akaanzisha. this is too psychological. jitahidini kuwasoma wake zenu na mtagundua wanaanzisha mara nyingi sana huo mchezo.

mie nina uwezo wa kutamka hata kwa maneno nataka nini manake ni saikolojia ndio huwa inataka na ukishajiandaa kisaikolojia unaweza tamka au kufanya lolote. na tena wanawake wengi tu huwatamkia wenzi wao


I always admire you,
Every single day in JF,
God bless you!!!!!!!!
 
Hapa ni kila mtu anastahili kuanzisha match;ila kama mtu wako hayuko hivyo ni suala la kumueleza awe huru kuzungumzia suala hilo pindi anapojisikia kula uroda akwambie kama wewe unavyofanya.Labda huenda anaogopa kukwambia na wewe hujawahi kumueleza kama unapenda yeye anapojisikia akwambie.
 
ooohh my dear friend
huu ndo mchezo tu mmoja duniani
ambao hauna referee ..
mpira uko katikati..
anayetaka akachukue..
na mwenzako akianza kukurushia pasi na we mrudishie kwani hii tag team..

unajua utamu wa mapenzi ni kuongelea..
mmhh mkumbatie bibie, mbusu, mwangalie kwa jicho
la mahaba halafu mwambie au mweleze kilicho moyoni..

maana hapo juu umesema ni mkeo..
sasa kama mmeoana hamna haja ya kumficha..
maana weye na ye ni kitu kimoja sasa..
Hiyo ni kweli Afrodance, huyo ni mkeo mweleze ukweli wa moyo wako, hiyo itaweka kachumbali ndani ya mboga. Siku njema!!!!!!!!!
 
Mie wangu huwa anaanzisha kama anajisikia! Hivyo yoyote kati yetu, mwenye kutaka tunda anapinga kipenga cha kuashiria kuanza kwa mchezo!
 
kwani akianzisha sana deme inaashiria nini?

Lady N, itategemea na uhusiano wenyewe na pia wahusika wenyewe.

Kwa sehemu kubwa, sex drive ya mwanaume iko juu zaidi ya ile ya mwanamke (isipokuwa katika umri fulani tu, na huwa ni kupindi kifupi). So kiasili inategewa mwanaume kuwa muanzishaji mara kwa mara.
 
napingana nawe mkuu. hata yeye huwa anaanzisha ila hujajua namna anavyoanzisha! hii inawamisslead wanaume wengi sana wakafikia kudhani kuwa bila wao mapenzi hakuna au tendo la ndoa halifanyiki. hii ni fallacy, wanawake wana namana na mbinu nyingi tu kuanzisha sasa kama mwanaume tena uliye kwenye ndoa yakupasa umsome na kumjua mwenzio.

mfano unapopanda tu kitandani, yeye anageuka au anasogea kando upande wake. na wewe tayari ukishaona maeneo yanayokutia hamasa tayari unataka kugusa na then mchezo unaanza. hapo usijitape kwamba umeanzisha wewe,aliyeanzisha ni mke na hata kulala sehemu yako alilala makusudi ili ukifika akuite kwa kujibinua! au yaweza kuwa tangu mapema anakutazama tazama kukuchokoza ili kukutia hamasa na ikifika jioni anajifanya kuwahi kulala, na wewe kwa "hasiira" za tangu mchana unashindwa kuvumilia hadi asubuhi, ukimgusa tu yuko prepared! nawe hujiulizi nani kamuandaa, alijiandaa mwenyewe ndio akaanzisha. this is too psychological. jitahidini kuwasoma wake zenu na mtagundua wanaanzisha mara nyingi sana huo mchezo.

mie nina uwezo wa kutamka hata kwa maneno nataka nini manake ni saikolojia ndio huwa inataka na ukishajiandaa kisaikolojia unaweza tamka au kufanya lolote. na tena wanawake wengi tu huwatamkia wenzi wao
umenena vema
 
Huwa kila mimi nikitaka hayuko tayari na nimemwambia siku akiwa tayari aniambie mwenyewe. Huwa nimeacha kuanzisha kuepuka maudhi na yeye ndiye anayelianzisha na sikumbuki lini mara ya mwisho kulianzisha. Hivyo akilianzisha kwa interval ya wiki kwangu sawa tu.
 
Back
Top Bottom