spiritual-thinker
Senior Member
- Mar 29, 2012
- 137
- 73
Nilishuhudia gari lililobeba mashabiki wa CCM likizomewa vibaya na wananchi pale lilipopita msimbazi street karibu na Big bon. Wananchi hawakuwa wamejiandaa wala kuandaliwa kuzomea lakini kile kitendo cha ile coaster kupita kiliibua hisia zao dhidi ya CCM na kuanza kuzomea kwa pamoja.
Natamani hamasa hii waliyonayo wananchi sasa iendelee hivi mpaka 2015, kisha itafsiriwe katika kura
Natamani hamasa hii waliyonayo wananchi sasa iendelee hivi mpaka 2015, kisha itafsiriwe katika kura