Wadau,mwaka 2010 kwenye kura za maoni Lusinde alimuangusha mzee Malecela,wadau wengi wakasema si vibaya kwa vijana kushika hatamu,weng wakaamin kuwa jimbo la MTERA limepata kijana atakayewawakilisha,hasa alipojipachika jina la 'KIBAJAJI',
Lakin kinachoendelea sasa ni tofaut,si NDANI YA BUNGE si NJE YA BUNGE,bwana Lusinde huwa hana la maana analolizungumza.katika kikao cha bunge la Bajeti la mwaka jana niliwah kumuona LUSINDE akisema kuwa'MH.SPIKA NAOMBA WABUNGE WAKAPIMWD AKILI'kama sijamnukuu vibaya,Juz Lusinde huyohuyo ameporomosha matus Arumeru.
HAPA NDO NAULIZA LUSINDE NA MZEE MALECELA NI NANI ANASTAHIL KUENDELEA NA WANA'MTERA.HAPO SITAK KUHUSISHA MTU WA UPINZANI,TUWAJADIL WAO KWA WAO.
Lakin kinachoendelea sasa ni tofaut,si NDANI YA BUNGE si NJE YA BUNGE,bwana Lusinde huwa hana la maana analolizungumza.katika kikao cha bunge la Bajeti la mwaka jana niliwah kumuona LUSINDE akisema kuwa'MH.SPIKA NAOMBA WABUNGE WAKAPIMWD AKILI'kama sijamnukuu vibaya,Juz Lusinde huyohuyo ameporomosha matus Arumeru.
HAPA NDO NAULIZA LUSINDE NA MZEE MALECELA NI NANI ANASTAHIL KUENDELEA NA WANA'MTERA.HAPO SITAK KUHUSISHA MTU WA UPINZANI,TUWAJADIL WAO KWA WAO.