Kati ya JF memberz hawa,Je ulipenda ukutane na yupi (Live) ili umfahamu?

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
626
Rejeo
Topical
Malaria sugu
Mwita25
Ritz
Ami
Faizafoxy

From nowhere.... ghafla bin vuu ukabahatika kukutana "live" na mmoja kati ya waheshimiwa niliowataja hapo juu, jee utajisikiaje?
Mathalan kakwambia'mimi ndiye FF au Topical' Je,utaamini vipi? Au utamuuliza swali gani la uchokonozi kupitia mijadala yetu ya hapa
jamvini ili uamini kama ni kweli huyu ni Malaria sugu au ni kweli huyu ni mwita25? Na ukishajiridhisha kuwa kweli ni yeye, Je utampa
ushauri gani kabla ya neno 'byeee c uuuu agaiiiin?

Nilikuwepo....sitaki ushahidi, nawahi Libya kwenye mazishi ya canar Ghadaffi.
 
Kati ya hao wote, Malaria Sugu a.k.a MS is the most interesting character, ningetamani kukutana naye live!
 
Rejeo
Topical
Malaria sugu
Mwita25
Ritz
Ami
Faizafoxy

From nowhere.... ghafla bin vuu ukabahatika kukutana "live" na mmoja kati ya waheshimiwa niliowataja hapo juu, jee utajisikiaje?
Mathalan kakwambia'mimi ndiye FF au Topical' Je,utaamini vipi? Au utamuuliza swali gani la uchokonozi kupitia mijadala yetu ya hapa
jamvini ili uamini kama ni kweli huyu ni Malaria sugu au ni kweli huyu ni mwita25? Na ukishajiridhisha kuwa kweli ni yeye, Je utampa
ushauri gani kabla ya neno 'byeee c uuuu agaiiiin?

Nilikuwepo....sitaki ushahidi, nawahi Libya kwenye mazishi ya canar Ghadaffi.
mushikachuma!
 
Rejeo
Topical
Malaria sugu
Mwita25
Ritz
Ami
Faizafoxy

From nowhere.... ghafla bin vuu ukabahatika kukutana "live" na mmoja kati ya waheshimiwa niliowataja hapo juu, jee utajisikiaje?
Mathalan kakwambia'mimi ndiye FF au Topical' Je,utaamini vipi? Au utamuuliza swali gani la uchokonozi kupitia mijadala yetu ya hapa
jamvini ili uamini kama ni kweli huyu ni Malaria sugu au ni kweli huyu ni mwita25? Na ukishajiridhisha kuwa kweli ni yeye, Je utampa
ushauri gani kabla ya neno 'byeee c uuuu agaiiiin?

Nilikuwepo....sitaki ushahidi, nawahi Libya kwenye mazishi ya canar Ghadaffi.

Huyo hapo juu wa kwanza kabisa, dah kweli ningetamani sana, kukutana nae.
 
Hio list hapo nengependa nionane nao na kila mmoja for different reasons....

Faiza Foxy - A strong and Persistent lady with an Unshakably strong character rare in Women.
Rejao - To understand ni kwa nini alichagua hio Avatar ambayo humfanya ukimuona at first glance ka vile umpotezee...
Ritz - Napenda the fact kua hata yeye anatambua kua ana makusudi sana jinsi ya ku-rattle members ambao kila siku huingia mtego wake.
Mwita25 - Hua namuona ana akili saana... ila bado simpati kwanini hufanya mambo ambayo yaweza mtafsiri kua ni kilaza to most....
Malaria Sugu - Nam-quote Mkuu Riwa hapo juu.... "Most interesting character"
Ami - Hanaga reasoning... what he believes hawezi shake down hata kidogo aangalie the other side... A dangerous character in devout situations...

Topical sijawahi muona wala kumsikia....
 
mimi mwita25
mbona theboss hujamuweka??????????
na mimi je.


Hata hawa pia....

Mamndenyi - To understand her anger over her ex - hubby na to see the motherly love she spreads around at JF.... Aonekana yupo full of love..
The Boss - One of my genuine man friends at JF and the only member who tells me Bluntly kila nichemkapo japo in private...
 
Hio list hapo nengependa nionane nao na kila mmoja for different reasons....

Faiza Foxy - A strong and Persistent lady with an Unshakably strong character rare in Women.
Rejao - To understand ni kwa nini alichagua hio Avatar ambayo humfanya ukimuona at first glance ka vile umpotezee...
Ritz - Napenda the fact kua hata yeye anatambua kua ana makusudi sana jinsi ya ku-rattle members ambao kila siku huingia mtego wake.
Mwita25 - Hua namuona ana akili saana... ila bado simpati kwanini hufanya mambo ambayo yaweza mtafsiri kua ni kilaza to most....
Malaria Sugu - Nam-quote Mkuu Riwa hapo juu.... "Most interesting character"
Ami - Hanaga reasoning... what he believes hawezi shake down hata kidogo aangalie the other side... A dangerous character in devout situations...

Topical sijawahi muona wala kumsikia....
Duuh umenifurahisha sana AshaDii kwa uchambuzi wako juu ya hao watu.
Sasa utaamini vipi kama huyu ni FF au Malaria Sugu? utamuuliza swali gani la kichokonozi ili uthibitishe kuwa huyu ni kweli FF au Malaria sugu?
 
Duuh umenifurahisha sana AshaDii kwa uchambuzi wako juu ya hao watu.
Sasa utaamini vipi kama huyu ni FF au Malaria Sugu? utamuuliza swali gani la kichokonozi ili uthibitishe kuwa huyu ni kweli FF au Malaria sugu?


Kuna mambo ambayo Members tofauti husimamia katika mambo fulani fulani... Tokana na historia yangu hapa JF The number one person ambae hawezi nidanganganya kama ni yeye ama lah! ni Faiza Foxy... No body can pretend to be Faiza Foxy na akaweza to pull it off! (at least to me) maana maswali nitayo muuliza yatamfaa yeye mwenyewe FF... Upande wa MS... ni rahisi, ni vigezo tu na masharti kuzingatiwa na wala hawezi nidangaya member for i do have my ways.... (ambazo unfortunately siwezi sema)
 
Back
Top Bottom