mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Rejeo
Topical
Malaria sugu
Mwita25
Ritz
Ami
Faizafoxy
From nowhere.... ghafla bin vuu ukabahatika kukutana "live" na mmoja kati ya waheshimiwa niliowataja hapo juu, jee utajisikiaje?
Mathalan kakwambia'mimi ndiye FF au Topical' Je,utaamini vipi? Au utamuuliza swali gani la uchokonozi kupitia mijadala yetu ya hapa
jamvini ili uamini kama ni kweli huyu ni Malaria sugu au ni kweli huyu ni mwita25? Na ukishajiridhisha kuwa kweli ni yeye, Je utampa
ushauri gani kabla ya neno 'byeee c uuuu agaiiiin?
Nilikuwepo....sitaki ushahidi, nawahi Libya kwenye mazishi ya canar Ghadaffi.
Topical
Malaria sugu
Mwita25
Ritz
Ami
Faizafoxy
From nowhere.... ghafla bin vuu ukabahatika kukutana "live" na mmoja kati ya waheshimiwa niliowataja hapo juu, jee utajisikiaje?
Mathalan kakwambia'mimi ndiye FF au Topical' Je,utaamini vipi? Au utamuuliza swali gani la uchokonozi kupitia mijadala yetu ya hapa
jamvini ili uamini kama ni kweli huyu ni Malaria sugu au ni kweli huyu ni mwita25? Na ukishajiridhisha kuwa kweli ni yeye, Je utampa
ushauri gani kabla ya neno 'byeee c uuuu agaiiiin?
Nilikuwepo....sitaki ushahidi, nawahi Libya kwenye mazishi ya canar Ghadaffi.