Kati ya haya makundi; lipi linaongoza kwa.........?

sun wu
Ushauri nilioupata toka kwako, ni couples kuwa na msimamo juu ya nafasi ya ndugu katika mahusiano!

Vipi hili la kukaa na ndugu wa upande wowote; halikaribishi maneno?
depends ndugu wanakaa kufanya nini.., binadamu tunasaidiana kwahio huwezi ukaacha kusaidia watu kwa kuogopa maneno, kama ndugu anakaa kwa mpito either anatafuta kwake au anasoma kwa muda mfupi au anatafuta maisha sio anakaa mradi anakaa tu.., pia hata ukikaa nao unaweka wazi kwamba hapa hakuna vita (hakuna sisi wala wao, as couples hamta-entertain maneno na kama yapo nyie wawili mtakaa na kuyasort na kushauliana jinsi ya kuyasolve). Na ndugu lazima wajue pale ni kwa mume na mke (kwahio ndugu yoyote lazima awaheshimu nyie sababu pale ni kwenu na sio kwa ndugu), kwahio kama mmoja wa couple itabidi usikubali maneno kutoka kwa ndugu yako yanayowatenganisha nyie (yaani hayajengi)

My point is nyie kama couple ni kitu kimoja (kwahio mtashauriana kusolve issues wote wawili.., na hizi issues ni pamoja na ndugu wenye matatizo)..., na nadhani kukaa na ndugu kama wapo jobless sio kuwasaidia, kuwasaidia inaweza ikawa ni kuwapa msimamo ili wajitegee.., kama ni kuja wanakuja kutembea na kuondoka (ukianza kuwatenga ndugu wa pande moja au nyingine ni kukaribisha maneno kwamba fulani hatujali sababu ya mke/mme wake)
 
kama mume ana pesa na ndo 'tajiri wa ukoo' basi ndugu wa mume matatizo matupu

na kama mume ni lofa lakini mke anatoka familia yenye pesa basi ndugu wa mke nao matatizo matupu
 
mimi naona kuvunjika kwa ndoa ni wanandoa wenyewe bwana....
ndugu wanaweza kuleta kwekwere ila izo ni changamoto tu.....
kuachana ni kitu ingine kabisa ... ilo ni la wenye ndoa wenyewe

100% agree with you...tuna tabia ya kulaumu wazazi wetu, wifi, shemeji, shangazi, mjomba, bosi wa mke/mume wafanyakazi wa mume/mke marafiki wa mume/mke hawa wote tunasemaga ndio wameharibu uhusiano wa mume na mke wengine wanailalamikia dunia kwa ujumla kua isingekua na anasa ilizonazo sasa hivi ndoa yao ingepona...tunajisahau kujiangalia sisi wenyewe...its always someone elses fault...Matatizo ya ndoa ni kati ya mume na mke...mkiwa strong kwenye rship yenu basi wengine wote watadunda tu nyie ndio kwanza mtaendelea kupendana na kuheshimiana
 
Back
Top Bottom