feis buku JF-Expert Member Aug 29, 2011 2,342 676 Oct 7, 2011 #22 Ndechumia said: Hapa naona ban inawanyemelea, mi nasepa mapema!![/QUOTENA MOD KASEMA HATA WW UNAECHANGIA UPUUZI BAN INAKUHUSU!SIMOOO!! Click to expand...
Ndechumia said: Hapa naona ban inawanyemelea, mi nasepa mapema!![/QUOTENA MOD KASEMA HATA WW UNAECHANGIA UPUUZI BAN INAKUHUSU!SIMOOO!! Click to expand...
BAK JF-Expert Member Feb 11, 2007 124,789 288,011 Oct 7, 2011 #23 Wote mafisadi tu ambao hawakustahili kabisa kuingia Ikulu au kushika madaraka yoyote yale ndani ya nchi yetu.
Wote mafisadi tu ambao hawakustahili kabisa kuingia Ikulu au kushika madaraka yoyote yale ndani ya nchi yetu.
MADAM T JF-Expert Member Oct 21, 2010 5,210 2,389 Oct 7, 2011 #24 Kumbe babu naye hapendeki kabisa......
CAMARADERIE JF-Expert Member Mar 3, 2011 4,419 1,920 Oct 7, 2011 #26 Mimi nawapenda hawa.....kwa ujumla wao......walau walifanya kazi kuleta uhuru
Apollo JF-Expert Member May 26, 2011 4,920 3,221 Oct 8, 2011 #32 Jamani, hao watatu ndio kina nani? Au ni wasanii wa nyimbo gani? Bora hata hiyo picha ya mchangiaji ndio nimemtambua ni Nyerere.
Jamani, hao watatu ndio kina nani? Au ni wasanii wa nyimbo gani? Bora hata hiyo picha ya mchangiaji ndio nimemtambua ni Nyerere.
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,670 68,631 Oct 8, 2011 #33 Nampenda mzee wa ruksa weye