Naona kimpumu cha week end kinakupeleka vibaya. Sawa, kwa mawazo yangu mimi naona wewe ndiyo unafaa kuwa rais kuliko yeyote uliyemtaja katika orodha yako.
Afadhali niseme askofu wangu wote hao hakuna anayestahili. Kardinali Pengo atafaa zaidi, ingawa katiba ya kanisa hairuhusu, ingekuwa inaruhusu basi huyu angetufaa zaidi
kwa vile hujasema Urais wa kitu gani hapo 2015 haina shida mie nilidhani urais wa nchi...........maana hapo tayari kuna raisi wa TFF.....................any way Wema sepetu kwa uraisi uliomaanisha maadam sio wa nchi.,Hata kama ni urais wa kuwa na via vya uzazi(VVU) vikubwa poa tu.....kura nampa Wema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.