American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 667
- 944
Kati ya Dodoma na Tanga ni mkoa upi unaotoa dhahabu nyingi. Nataka kuchimba dhahabu naombeni ushauri wenu Ndugu zangu ni wapi kati ya Dodoma na Tanga ambapo nitaweza kuchimba dhahabu vizuri na kwa uhakika?