Kati ya BABA au MAMA yupi ni mzazi halali?

mbona hakuna kinachoeleweka hapa.... Kwani kuna mzazi haramu...
 
Jamani!!!! Mama hawezi kua mzazi bila baba, ukiwa na mama lazima uwe na baba, hayo mengine ni ufukunyuku tu.
Ukimchunguza bata humli.
 
Jamani!!!! Mama hawezi kua mzazi bila baba, ukiwa na mama lazima uwe na baba, hayo mengine ni ufukunyuku tu.
Ukimchunguza bata humli.
Ukimchunguza bata utamsafisha ili umle vzuri.kwani hujawah kuckia baba anamlea mtoto kumbe c wake?tena wanawake mmezoe ku2chezea akil ze2.
 
Mbona title ya hii ni tofauti na content yake? Lakini definitely ni mama na ndiyo maana makabila mengine mjomba huwa na nguvu kuliko baba.

Mama hawezi kudanganya na akizaa ataonekana tu lakini baba mmmmmmhhhhhh!
Mwambie rev masanilo anadai mm ni underage
 
Kutokana na utata unaojtokeza kwenye familia nyingi kiac cha kuleta kutoelewana juu ya watoto.hisia mbaya huwakumba hasa wanaume wakidhani watoto wale c wao.je nani mhusika mkuu wa swala hili?Wengi wamelea watoto wakidhani ni damu yao kumbe cha kike.
NB:KITANDA HAKIZAI HARAMU

Baba hazai. Mzazi ni yule anayejifungua, ambaye ni mama.
 
Back
Top Bottom