Is this a News Alert? Katika Mambo ambayo nitakuja Kumlaumu EL ni hizi shule za Kata
Kuna siku humu ndani mtu atakuja kuomba ushauri wa jinsi ya kula ugali!
Nimetokea kumpenda wanawake wa makabila hayo but nambiwa wote hawana sifa nzuri naombeni ushauri wenu wanajf bora yupi?
na watu tutampa tu ushauri sipati picha!
itakuwa kama hivi
ugali unapaswa kuliwa wa moto ila ukiwa wa baridi ukate kate uweke kwenye sahani kisaha nyunyiza maharage juu af tena kula!
ila kama ni wa moto mega kwa mikono kisha tengeneza kama donge hivi toeza kwenye mboga kisha ingiza mdomoni
utafute taratibu ili ulainike vizuri kisha umeze,ukisha meza kata tonge lingine fanya kama ulivyofanya mwanzo!
ahahahhaah watu bwana!yani sa hapa tumshauri nini?
si ndo hapo!Inabidi liwekwe jukwaa la watoto, maana wakikaa tu kwenye Computer kinachowajia kichwani wanapost.
Nimetokea kumpenda wanawake wa makabila hayo but nambiwa wote hawana sifa nzuri naombeni ushauri wenu wanajf bora yupi?
Hapo umesema kweli, kwani maswali mengine hayana maana.Kuna siku humu ndani mtu atakuja kuomba ushauri wa jinsi ya kula ugali!