Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,259
tungefaidije! awashukuru 2 wale migambo wake!
Migambo wapi wakati walikuwa wachunga ng'ombe wa kule Kijijini?
Unamkumbuka Ngwadakulima?
tungefaidije! awashukuru 2 wale migambo wake!
Hv Ndo yule Mwl aliyekuwa amekaukianaa,
walikuwa wanamgombea Mwl Mponda ye na Madovena?
Alikuwa na Chunusi kama Stafeli?
Madame B nakupa mwaaaaaaaaa hata Ruttashobolwa aone atajiju ila nimekumiss sana aiseeMigambo wapi wakati walikuwa wachunga ng'ombe wa kule Kijijini?
Unamkumbuka Ngwadakulima?
Migambo wapi wakati walikuwa wachunga ng'ombe wa kule Kijijini?
Unamkumbuka Ngwadakulima?
haswaaa! enzi zile cm zinaingia anayo,daily anabadili nguo, ndan kwake hata stuli hana! ck moja alipata wageni akaenda kuazima viti kwa jirani yke yule store keeper!
Umeona eeeeh leo hakuna live band?Nipo makonde beach nimetulia napata kiupepo cha bahari kabla ya kwenda kulala.
Madame B nakupa mwaaaaaaaaa hata Ruttashobolwa aone atajiju ila nimekumiss sana aisee
Nataka tumalizane na ile bishara ya Penguine wetu
Yani kile ki mwalimu nilikuwa sikapendi,uso kama ngedere mtoto.
Kuna siku nilimsuta mpaka alikoma.
Chezeya Madame B,
Afu nasikia Alikuwa ameathirika,hv ni kweli.
Shoga tutasutwa.
namkumbuka sana! nackia ni headmaster ck hz! mama ruanda jee? na mwanae shimoko!
hata me nilickia ila ukweli anaujua mwenyewe! kusutwa suna ati!
Shimoko tumemuimba sana kwenye mchakamchaka.
Afu shule za girlz bhana,shimoko alikuwa anajiona mzuri wakati leo hii hata mchana sifatani nae.
yupo huku kawa, mkaka huyo! unaweza ucmkumbuke! kizungu zungu, zunguka, babu mponda! unakumbuka!?
Wapi yupo huyo Shimoko nikamdeku?
Babu Mponda yule mpishi mwenye para kama paji la Uso?
Afu kuna siku akakosea stepu akaniaproach!
Sikilizia mashushu yake.
duh mlivyokusifia mtwara mwanitamanisha kwenda huko one day!