Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Sizinga na wanaJF wengine mliopo Mtwara mgeni nimeingia ndani ya mji wenu kimyakimya jana asubuhi. Nyakati za jioni jana nilipata wasaa wa kujichanganya na wenyeji lakini nilichoshuhudia ni kuwa Mtwara ya sasa si ile niliyoiacha mara ya mwisho nilipokuja kutembea huku miaka miwili iliyopita.
Wenyeji nielekezeni maeneo ya kujirusha ili leo jioni nikatembelee huko hata nitakaporudi kwetu Kawajense Mpanda nipate cha kusimulia, jana nilikuwa maeneo ya Mangowela Inn.
Kweli Mtwara Raha....
Wenyeji nielekezeni maeneo ya kujirusha ili leo jioni nikatembelee huko hata nitakaporudi kwetu Kawajense Mpanda nipate cha kusimulia, jana nilikuwa maeneo ya Mangowela Inn.
Kweli Mtwara Raha....
Last edited by a moderator: